Marekebisho ya hadhi maalumu yaondolewa tena bungeni

Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, ameondoa marekebisho ya Sheria ya Uhamiaji, Sura 54, katika Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Namba 4 wa Mwaka 2024, uliolenga kutoa utaratibu wa hadhi maalumu (Diaspora Tanzanite Card) kwa Watanzania wenye uraia wa nchi nyingine. Aidha, Dk Tulia aliondoa marekebisho ya Sheria ya Ardhi, Sura 113, katika…

Read More

Vituo vya afya vya kimkakati kuanza kujengwa kila jimbo

Dodoma. Serikali imesema mwaka 2025, itapeleka Sh250 milioni kwa kila jimbo kwa ajili ya kuanza kujenga vituo vya afya vya kimkakati Tanzania Bara. Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais Tawala za Mitaa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Zainab Katimba, amesema hayo leo Jumatano, Januari 28, 2025, wakati akijibu swali la nyongeza la mbunge wa Moshi…

Read More

MANISPAA YA KAHAMA YARIDHISHWA NA MCHAKATO WA UFUNGAJI WA MGODI WA BARRICK BUZWAGI

Meneja Uhusiano wa Jamii na Miradi wa Barrick Buzwagi, Stanley Joseph, akionyesha Maofisa kutoka manispaa ya Kahama sehemu za mgodi zilivyoboreshwa kwa ajili ya uwekezaji walipofanya ziara mgodini hapoJohn Kibini Meneja wa Kiwanda cha EACS Akitoa Maelezo kwa Wataalam kutoka Manispaa ya kahama walipotembelea eneo la Mgodi wa Barrick Buzwagi uliopo katika mchakato wa kufungwa…

Read More

Vikundi vya kukopa vyawa lulu wanufaika kaya maskini

Unguja. Licha ya kaya 121 kuhitimu kutoka Mpango wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) katika Shehia ya Chumbuni Mkoa wa Mjini, zimeeleza jinsi utaratibu wa kuunda vikundi vya kuweka na kukopa unavyowanufaisha na kuimarisha maisha yao. Kaya hizo zimepewa ruzuku za uzalishaji, Sh54,890 hadi kufikia Septemba mwaka 2024. Kwa mujibu wa taarifa ya shehia hiyo iliyotolewa…

Read More

Wadau wataka utafiti zao la mwani

Unguja. Wadau wa zao la mwani kisiwani hapa wameziomba taasisi za mwani kufanya tafiti ya kilimo hicho ili kujua madini yaliyomo kwa lengo la kupata uhakika wa kitaalamu unaothibitisha ubora wa thamani ya zao hilo. Pia, wameiomba Serikali ya Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuwawekea miundombinu ya kuvunia, kukaushia na sehemu ya…

Read More