Uboreshaji daftari la wapigakura wafika Lindi

Lindi. Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, na Madiwani Oktoba mwaka huu, Manispaa ya Lindi jana imeanza uboreshaji wa daftari la wapigakura na inatarajia kuandikisha wapigakura wapya 102,151 kutoka kwenye majimbo mawili ya uchaguzi. Akizungumza leo Jumatano, Januari 29, 2025, Ofisa Muandikishaji wa Daftari la Wapigakura, Juma Mnwele, amesema Manispaa ya Lindi inatarajia kuandikisha wapigakura…

Read More

Upendeleo mkubwa kwa wote? – Maswala ya ulimwengu

Maoni Na Jomo Kwame Sundaram, Ndongo Samba Sylla (Dakar, Senegal / Kuala Lumpur, Malaysia) Jumatano, Januari 29, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Dakar, Senegal / Kuala Lumpur, Malaysia, Januari 29 (IPS) – Kukomesha utawala wa dola ya Amerika pekee hautamaliza ubeberu wa pesa. Mipangilio bora zaidi ya kimataifa ya kusafisha malipo ya kimataifa inaweza…

Read More

Serikali kurudi mezani tozo mpya za utalii

Arusha. Serikali, kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (Tawa), imesikia kilio cha wadau wa utalii nchini dhidi ya mabadiliko mapya ya tozo zilizoanza kutumika Januari 17, 2025. Akizungumza na Mwananchi Digital leo, Jumatano, Januari 29, 2025, Kamishna wa Tawa, Mlage Kabange, amesema wamesikia hoja za wadau hao na wanatarajia kukutana nao tena kwa lengo…

Read More

Jicho la Msuva, Himid wanavyoitazama AFCON 2025

KATIKA droo ya upangaji makundi ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) itakayofanyika Morocco kuanzia Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026, Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itakuwa kundi C. Droo hiyo iliyofanyika Januari 27, 2025 jijini Rabat nchini Morocco, Taifa Stars imepangwa na timu za Nigeria, Tunisia na Uganda. Kufuatia droo…

Read More

Rais Samia aongoza mkutano wa dharura SADC-Organ

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ) ameongoza mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi na Serikali wa asasi hiyo. Mkutano huo ulifanyika jana Januari 28, 2025, Ikulu jijini Dar es Salaam, huku mapigano yanayoendelea kati…

Read More

Fadlu ashika wanne Simba SC

SIMBA ilikuwa na ofa sita mezani kutoka timu tofauti zikihitaji wachezaji wake dirisha dogo la usajili lililofungwa Januari 15, 2025 lakini kati ya hizo, ni mbili tu ambazo ilizikubali na nne ikazipiga chini kutokana na sababu mbili. Vinara hao wa Ligi Kuu Bara, wana sababu zao walizozianisha ambazo zimewafanya mastaa wake wanne kubaki kikosini hapo…

Read More

Mtatiro atia neno ‘Golden Standard’ uchaguzi wa Chadema

Mnajaribu kumdanganya nani? Ndugu zangu Wanademokrasia, baada ya kumaliza uchaguzi wenu wa ndani ya chama, nimeona tambo na chumvi nyingi kuhusu uchaguzi huo. Nimesikia maneno kama vile; “…hiki ndicho chama cha kidemokrasia katika taifa letu…”; “… tumeweka kipimo cha dhahabu, ambacho hakuna ambaye amewahi kukifikia na hakuna atakayejaribu kukifikia…”; “…chama chetu kimeweka rekodi na historia…

Read More

Masharti magumu mabosi Yanga, Ramovic hakuna namna

NDANI ya Yanga ni sawa na kile kidonda ambacho kinaonekana kimepona nje lakini ndani bado kuna shida. Baada ya timu hiyo kutolewa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua hiyo imewavuruga viongozi wao na hata mashabiki wao. Yanga iliishia hatua ya makundi ikishindwa kumaliza kwa ushindi uliokuwa unahitajika ili itinge robo fainali kwa mara ya pili mfululizo….

Read More

Wadau wamlilia Bwire, wataja vilivyombeba

WAKATI maandalizi ya kuupumzisha mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Kukuza na Kulea vipaji cha Alliance, Jame Bwire yakiendelea kabla ya kuzikwa wikiendi hii, baadhi ya wadau wa michezo nchini wametaja mambo yaliyombeba kigogo huyo na kuacha alama kubwa ambayo haitafutika kirahisi. Bwire ambaye alikuwa mdau mkubwa wa michezo nchini akiwa ni Mkurugenzi wa…

Read More