KONA YA MALOTO: Mtihani wa Lissu Chadema ni sawa na Ruto Kenya

Uchaguzi unapoisha, macho yote humtazama aliyeshinda. Matarajio huwa mengi endapo mshindi anakuwa mpya kwenye kiti. Mategemeo huwa na nguvu zaidi pale mshindi mpya anapofanikiwa kupitia agenda ya kumsiliba mtangulizi wake. Ilitokea Kenya kama mfano dhahiri. Rais William Ruto, hadi sasa bado anateswa na urais wake. Tangu alipokula kiapo kuiongoza nchi hiyo, Septemba 13, 2022, amekuwa…

Read More

RAIS MSTAAFU JK AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA NIGERIA

RAIS Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE) amekutana leo na Rais wa Nigeria, Bola Ahmed Tinubu kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Taasisi hiyo na Nigeria. Pamoja na mambo mengine, Rais mstaafu Kikwete amemweleza nia ya Taasisi hiyo kutaka kuiomba Nigeria kuwa…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Kuna cha kujifunza uchaguzi Chadema

Binadamu hujifunza kutokana na makosa, lakini kuna watu walisema: “Ni mjinga tu anayejifunza kutokana na makosa yake.” Walimaanisha kila mtu huyaona mambo kwenye upeo wake tu, hivyo hulazimika kujifunza kutoka kwa wengine ili kuyaona yaliyo nje ya upeo wake. Asiyetaka kujifunza kutoka kwa wengine huyarudia makosa yake pasipo kujua njia za kuyaondoa. Atarekebisha makosa ya…

Read More

KONA YA FYATU MFYATUZI: Kongole Chakudema, CcM kwa kufyatuana

Fyatu asiye adabu aliniuliza ni kwa nini sikuwafyatua Chakudema wakati wa nchakato wao. Nilimjibu kuwa sikuwa na papara. Nilingoja nione ambavyo wangefyatuana, kuchakachuana, au kuchaguana. Japo si shabiki wa siasa za majitaka na mizengwe, nimeridhika na namna Chakudema, tofauti na wenzao, walivyoonyesha ukomavu na ukakamavu vilivyobainisha ukweli na uwazi katika nchakato uliokwisha karibuni. Kongoleni. Yule…

Read More

Marufuku ya Israeli Unrwa yatadhoofisha kusitishwa kwa Gaza, Baraza la Usalama linasikia – Maswala ya Ulimwenguni

Mabalozi wakuu huko New York Jumanne, Unrwa Kamishna Mkuu wa Philippe Lazzarini alionya kwamba sheria zilipitishwa mnamo Oktoba mwaka jana kuhatarisha maisha ya mamilioni ya Wapalestina na hatari zinazodhoofisha kusitisha mapigano huko Gaza. Zinahitaji kwamba UNRWA iache shughuli zake katika eneo la Jimbo la Israeli – pamoja na Benki ya Magharibi, Gaza na Mashariki ya…

Read More

TAAMULI HURU: Kilichofanyika mkutano mkuu wa CCM ni batili

Kilichofanywa na mkutano Mkuu wa CCM Dodoma, japo kimefanywa kwa nia njema na dhamira safi, lakini ni ubatili uleule kama uliofanywa na Bunge letu tukufu mwaka 2008 kwa kufanya mabadiliko batili ya Katiba kwa hati ya dharura na kuuchomekea ubatili kwenye Katiba yetu uliosababisha kutunga sheria batili ya uchaguzi. Ule utaratibu wa CCM kupitisha viongozi…

Read More

Demokrasia vs Katiba; Mjadala uteuzi wa wagombea urais CCM

Ni dhahiri kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM) kimekamilisha mchakato wa kuwapata wagombea wake katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu, ukiwa umefanyika mapema zaidi kuliko ilivyozoeleka. Katika mkutano mkuu wa CCM uliofanyika uliofanyika Januari 18 na 19, mwaka huu, jijini Dodoma, wajumbe wa mkutano huo waliridhia kwa kauli moja kuwa Rais Samia Suluhu Hassan awe…

Read More