Mambo 15 azimio la Dar es Salaam la nishati

Dar es Salaam. Wakuu wa Nchi za Afrika wameazimia kutengeneza mazingira bora ya kisera na kisheria ili kuwezesha ushiriki wa sekta binafsi katika uwekezaji kwenye mnyororo wa thamani wa sekta ya nishati. Azimio hilo ni moja kati ya 15 yaliyotolewa jijini Dar es Salaam, katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati, uliwakutanisha…

Read More

Marais wa Afrika wataja matumaini uzalishaji umeme

Dar es Salaam. Baadhi ya marais wa nchi za Afrika wanaohudhuria mkutano mkuu wa nishati Afrika, wameeleza matumaini yao kuhusu mkakati ulioandaliwa kwa ajili ya uzalishaji wa umeme barani humo. Mkutano huo wenye kauli mbiu ya Ajenda 300, ulioanza kufanyika jijini Dar es Salaam tangu jana Januari 27 na leo Januari 28, umehudhuriwa na marais …

Read More

‘Sekta binafsi ipewe nafasi kuzalisha umeme’

Dar es Salaam. Wakati kukosekana kwa miundombinu ya usambazaji umeme ikitajwa kuwa sababu ya maeneo mengi Afrika kukosa nishati ya uhakika, wadau wameshauri sekta binafsi iandaliwe mazingira ili iweze kuwekeza katika miradi mikubwa ya uzalishaji nishati. Pia, nchi zimeshauriwa kuangalia namna ya kutumia mifuko ya pensheni na hifadhi ya jamii kwa ajili ya uendeshaji wa…

Read More

Tabora United yapewa mwamuzi ‘mtata’ dhidi Simba

Presha ya mchezo wa Tabora United dhidi ya Simba inazidi kupanda mdogondogo na taarifa ya kushtua ni kwamba mchezo huo utaamuliwa na mwamuzi Amina Kyando ambaye hana rekodi nzuri na wenyeji wa mechi hiyo. Kyando ataamua mechi hiyo ya tatu kwenye historia ya Tabora United huku mechi mbili zilizotangulia akikumbana na matukio ya utata yaliyosababisha…

Read More

Meneja wa Mbowe aeleza mitihani ya Lissu Chadema

Dar es Salaam. Siku chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), uongozi mpya chini ya Tundu Lissu unakabiliwa na mambo matatu, ikiwemo kuvunja makundi na kukipeleka chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Mambo hayo yamebainishwa na Daniel Naftari, aliyekuwa Mratibu wa Kampeni za Freeman Mbowe, aliyekiongoza chama…

Read More

Waandamanaji wachoma balozi za mataifa Kinshasa

Kinshasa. Baadhi ya wananchi wameandamana jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kuchoma moto balozi za mataifa ya Ufaransa, Ubelgiji na Rwanda. Balozi nyingine zilizolengwa na waandamanaji hao leo Jumanne Januari 28, 2025, ni ya Uganda na Kenya. Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Jean-Noel Barrot ameandika kwenye akaunti yake ya…

Read More

GCLA YAPONGEZWA KWA KUSAIDIA UPATIKANAJI WA HAKI

Na Oscar Nkembo Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel, ameipongeza Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa kazi kubwa inayofanya katika upatikanaji wa haki Jinai nchini Tanzania huku akifurahishwa na utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka kwa ujumla. Prof. Gabriel ametoa pongezi hizo katika maonesho ya wiki ya Sheria yanayofanyika…

Read More