KAMARI HULETA MATATIZO YA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

Na Issa Mwadangala Vijana wa Kijiji cha Masoko Kata ya Mlangali Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe wametakiwa kuacha kucheza au kujiingiza katika uchezaji wa kamari ambao kwa asilimia kubwa unapelekea matatizo ya changamoto ya afya ya akili. Kauli hiyo ilitolewa Januari 27, 2025 na Polisi Kata ya Mlangali Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Robart Kasunga…

Read More

Wateja 1,391 wa KCB walipwa amana zao

Dodoma. Bodi ya Bima ya Amana (DIB), imewalipa wateja 1,391 kati ya 2,797 wa Benki ya Wakulima Kagera (KCB), waliokuwa na amana chini ya Sh1.5 milioni. Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande amesema hayo leo  Jumanne Januari 28, 2025 wakati akijibu swali la Bernadeta Mshashu aliyehoji lini Serikali itawalipa wateja walioweka fedha zao katika benki…

Read More

Simulizi kijana aliyechomwa moto kwa madai ya wizi

Dar es Salaam. Familia ya Jumanne Ramadhani aliyefariki kwa madai ya kumwagiwa petroli kisha kuchomwa moto kwa tuhuma za wizi simu na fedha, imeiomba Serikali kuwachukulia hatua za kisheria waliohusika na kitendo hicho ikidai ndugu yao hakuwa mwizi. Ramadhan aliyekuwa akiishi Mtaa wa Discover, Kimara Suka Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam anadaiwa kuchomwa…

Read More

RUWASA YATAMBULISHA MRADI WA MAJI WA WANANCHI NYASA

Na Mwandishi Wetu, Nyasa WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma, umetambulisha kwa Wananchi mradi wa maji wenye thamani ya zaidi ya Tsh Milioni 962.7 unaokwenda kutekelezwa katika vijiji viwili vya Lumeme na Mbanga ili kutatua kero ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na Salama katika Vijiji…

Read More

Mcolombia afichua jambo Azam | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Azam FC, Franklin Navarro (25), amesema sababu iliyochochea kushindwa kuonyesha makali katika Ligi Kuu Bara akiwa na matajiri hao wa Chamazi ni majeraha ya kifundo cha mguu. Navarro ambaye alikuwa akisumbuliwa na kifundo cha mguu, siku chache zilizopita alitangazwa kujiunga na Union Magdalena ya Colombia baada ya kuachana na Azam FC…

Read More