DC Salekwa ataka miti ipandwe hospitali

Mufindi. Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Dk Linda Salekwa amesisitiza viongozi wa halmashauri kuhakikisha mazingira yanayoizunguka Hospitali ya Mji Mafinga yanaendelea kuboresha kwa kupandwa ukoka, miti na maua sanjari na kuweka maeneo kwa ajili ya kupumzika wagonjwa. Kauli hiyo imetolewa na Dk Salekwa leo Jumanne Januari 18 2025 alipozindua upandaji wa miti katika Halmashauri ya…

Read More

Wazambia kunogesha Makarasha | Mwanaspoti

WAKATI KenGold ikitarajia kufanya tamasha leo, Jumatano kutambulisha wachezaji na benchi la ufundi, kikosi hicho kinatarajia kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Real Nakonde ya Zambia. Tamasha hilo lililopewa jina la Makarasha Day lenye kauli mbiu ya Saga Mwagia linalenga kutengeneza upya timu hiyo ikiwa ni ishara ya kujipanga na michezo ya mzunguko…

Read More

Wanavijiji wachoshwa na maji ya visima

Shinyanga. Wakazi 26,000 wa vijiji vinane vya kata za Masengwa, Samuye na Mwamala Halmashauri ya Shinyanga wanakutana na changamoto ya upatikanaji wa majisafi na salama. Wakizungumza na gazeti hili leo Januari 28, 2025 baadhi ya wakazi wa vijiji vya Ibanda na Mwamala wamesema changamoto ya maji ni kubwa kutokana na kutumia maji ya chumvi. Marco…

Read More

Mpango kupima ardhi wasitishwa Songwe

Songwe. Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe limesitisha kazi ya upimaji wa ardhi iliyokuwa likiendelea katika baadhi ya kata wilayani humo. Hatua hiyo imekuja baada ya wananchi wa kaya 250, kugoma kuondoka katika maeneo wanayoishi kwenye Kitongoji cha Iwindu wakidai ni ardhi yao kihalali. Akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani, mwenyekiti…

Read More

Sowah, Rupia kuna vita Singida Black Stars

NANI ataongoza safu ya ushambuliaji ya Singida Black Stars? Hicho ndicho kitendawili ambacho kinasubiriwa kuteguliwa na kocha wa timu hiyo, Hamdi Miloud katika mechi za duru la pili kwenye Ligi Kuu Bara. Miloud anatarajiwa kufanya uamuzi muhimu kuhusu nani atacheza kama mshambuliaji kiongozi kati ya wachezaji wawili hatari alionao kikosini, Elvis Rupia na Jonathan Sowah…

Read More

Kagera Sugar yaivutia kasi Yanga

KAGERA Sugar imetamba kwamba haiifuati Yanga jijini Dar es Salaam kinyonge, bali imejipanga kukabiliana ipasavyo na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara katika mchezo utakaopigwa Jumamosi, wiki hii. Akizungumza na Mwanaspoti, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kagera Sugar, Thabity Kandoro alisema wamekuwa na maandalizi mazuri kwa ajili ya michezo ya mzunguko wa pili wa Ligi…

Read More

Madaktari wanane wanatibu wagonjwa 10,000 Tanzania

Dodoma. Wakati Shirika la Afya Duniani WHO likiweka uwiano wa madaktari 22.8 kutibu watu 10,000 kwa nchi zinazoendelea, Tanzania imebainika kuwa na uwiano wa madaktari 8.4 wanaotibu watu 10,000 sawa na theluthi moja. Hayo yamesemwa leo Januari 28, 2025 na Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Nyongo kwa niaba ya Waziri…

Read More

Wasichana 10,239 waliokatisha masomo warejeshwa tena shule

Morogoro. Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Tanzania (TEWW) kupitia Mradi wa Kuongeza Ubora wa Elimu ya Sekondari (Sequip-AEP) imefanikiwa kuwarejesha shule wanafunzi wa kike 10,239 kutoka nchi nzima walikatisha masomo yao. Taarifa hiyo imetolewa na naibu mkuu wa taasisi hiyo anayeshughulikia taaluma, utafiti na ushauri, Profesa Philipo Sanga alipozungumza kwenye warsha ya watendaji wa…

Read More

Walimu wa sayansi, hisabati wafundwa matumizi ya Tehama

Iringa. Jumla ya walimu wa sekondari 665 wa masomo ya hisabati na sayansi mikoa ya Dodoma, Mbeya na Iringa pamoja na wathibiti ubora (SQA) wapatao 17, wamepatiwa mafunzo ya ufundishaji na ujifunzaji wa masomo kupitia Teknolojia na Habari na Maendeleo (Tehama). Mafunzo hayo yanayoendeshwa na mradi wa kuimarisha elimu ya sekondari unaotekelezwa na Sequip, Ofisi…

Read More