Mufindi. Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Dk Linda Salekwa amesisitiza viongozi wa halmashauri kuhakikisha mazingira yanayoizunguka Hospitali ya Mji Mafinga yanaendelea kuboresha kwa kupandwa ukoka,
Month: January 2025

WAKATI KenGold ikitarajia kufanya tamasha leo, Jumatano kutambulisha wachezaji na benchi la ufundi, kikosi hicho kinatarajia kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Real

Shinyanga. Wakazi 26,000 wa vijiji vinane vya kata za Masengwa, Samuye na Mwamala Halmashauri ya Shinyanga wanakutana na changamoto ya upatikanaji wa majisafi na salama.

Songwe. Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe limesitisha kazi ya upimaji wa ardhi iliyokuwa likiendelea katika baadhi ya kata wilayani humo. Hatua

NANI ataongoza safu ya ushambuliaji ya Singida Black Stars? Hicho ndicho kitendawili ambacho kinasubiriwa kuteguliwa na kocha wa timu hiyo, Hamdi Miloud katika mechi za

Arusha. Halmashauri ya Jiji la Arusha imenunua mitambo mipya mitatu yenye thamani ya Sh1.7 bilioni kwa ajili ya ukarabati wa barabara za ndani. Mitambo hiyo

KAGERA Sugar imetamba kwamba haiifuati Yanga jijini Dar es Salaam kinyonge, bali imejipanga kukabiliana ipasavyo na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara katika mchezo

Dodoma. Wakati Shirika la Afya Duniani WHO likiweka uwiano wa madaktari 22.8 kutibu watu 10,000 kwa nchi zinazoendelea, Tanzania imebainika kuwa na uwiano wa madaktari

Morogoro. Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Tanzania (TEWW) kupitia Mradi wa Kuongeza Ubora wa Elimu ya Sekondari (Sequip-AEP) imefanikiwa kuwarejesha shule wanafunzi wa kike

Iringa. Jumla ya walimu wa sekondari 665 wa masomo ya hisabati na sayansi mikoa ya Dodoma, Mbeya na Iringa pamoja na wathibiti ubora (SQA) wapatao