Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 27
Habari

DC Salekwa ataka miti ipandwe hospitali

January 28, 2025 Admin

Mufindi. Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Dk Linda Salekwa amesisitiza viongozi wa halmashauri kuhakikisha mazingira yanayoizunguka Hospitali ya Mji Mafinga yanaendelea kuboresha kwa kupandwa ukoka,

Read More
Michezo

Wazambia kunogesha Makarasha | Mwanaspoti

January 28, 2025 Admin

WAKATI KenGold ikitarajia kufanya tamasha leo, Jumatano kutambulisha wachezaji na benchi la ufundi, kikosi hicho kinatarajia kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Real

Read More
Habari

Wanavijiji wachoshwa na maji ya visima

January 28, 2025 Admin

Shinyanga. Wakazi 26,000 wa vijiji vinane vya kata za Masengwa, Samuye na Mwamala Halmashauri ya Shinyanga wanakutana na changamoto ya upatikanaji wa majisafi na salama.

Read More
Habari

Mpango kupima ardhi wasitishwa Songwe

January 28, 2025 Admin

Songwe. Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe limesitisha kazi ya upimaji wa ardhi iliyokuwa likiendelea katika baadhi ya kata wilayani humo. Hatua

Read More
Michezo

Sowah, Rupia kuna vita Singida Black Stars

January 28, 2025 Admin

NANI ataongoza safu ya ushambuliaji ya Singida Black Stars? Hicho ndicho kitendawili ambacho kinasubiriwa kuteguliwa na kocha wa timu hiyo, Hamdi Miloud katika mechi za

Read More
Habari

MIitambo mipya kutatua changamoto za barabara za ndani Arusha

January 28, 2025 Admin

Arusha. Halmashauri ya Jiji la Arusha imenunua mitambo mipya mitatu yenye thamani ya Sh1.7 bilioni kwa ajili ya ukarabati wa barabara za ndani. Mitambo hiyo

Read More
Michezo

Kagera Sugar yaivutia kasi Yanga

January 28, 2025 Admin

KAGERA Sugar imetamba kwamba haiifuati Yanga jijini Dar es Salaam kinyonge, bali imejipanga kukabiliana ipasavyo na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara katika mchezo

Read More
Habari

Madaktari wanane wanatibu wagonjwa 10,000 Tanzania

January 28, 2025 Admin

Dodoma. Wakati Shirika la Afya Duniani WHO likiweka uwiano wa madaktari 22.8 kutibu watu 10,000 kwa nchi zinazoendelea, Tanzania imebainika kuwa na uwiano wa madaktari

Read More
Habari

Wasichana 10,239 waliokatisha masomo warejeshwa tena shule

January 28, 2025 Admin

Morogoro. Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Tanzania (TEWW) kupitia Mradi wa Kuongeza Ubora wa Elimu ya Sekondari (Sequip-AEP) imefanikiwa kuwarejesha shule wanafunzi wa kike

Read More
Habari

Walimu wa sayansi, hisabati wafundwa matumizi ya Tehama

January 28, 2025 Admin

Iringa. Jumla ya walimu wa sekondari 665 wa masomo ya hisabati na sayansi mikoa ya Dodoma, Mbeya na Iringa pamoja na wathibiti ubora (SQA) wapatao

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 26 27 28 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.