Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 28
Michezo

Wakali wa namba kikapu Dar

January 28, 2025 Admin

SUPASTAA wa Christ The King, Davidson Evarist anawaburuza wenzake katika utupiaji nyavuni kwenye mashindano ya Ligi Daraja la Kwanza Mkoa wa Dar es Salaam yanayoendelea

Read More
Habari

Simulizi mwanafunzi aliyepigwa radi Bukombe

January 28, 2025 Admin

Bukombe. “Jana mchana tukiwa darasani mvua ilikua ikinyesha huku kukiwa na radi nyingi,  wanafunzi wenzangu wakawa wanapiga kelele nikatoka kwenye dawati nikasogea mbele kufika mbele

Read More
Habari

MKURUGENZI MKUU NSSF AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA UGANDA

January 28, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba, tarehe 27 Januari 2025 amekutana

Read More
Habari

Jinsi wanafunzi walivyopigwa na radi Bukombe

January 28, 2025 Admin

Bukombe. “Jana mchana tukiwa darasani mvua ilikuwa ikinyesha na radi nying, wanafunzi wenzangu wakawa wanapiga kelele nikatoka kwenye dawati nikasogea mbele kufika mbele, nageuka nikamuona

Read More
Habari

Polisi wastaafu wadai Sh97 bilioni

January 28, 2025 Admin

Dodoma. Jumla ya Sh97.12 bilioni zinadaiwa na polisi wastaafu, kati ya hizo madai yaliyohakikiwa na kuwasilishwa na Wizara ya Fedha kwa ajili ya malipo ni

Read More
Habari

Lissu kuanza kazi rasmi ya uenyekiti Chadema kesho

January 28, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu anatarajiwa kuripoti makao makuu ya chama yaliyopo Mikocheni, Dar es Salaam kesho Januari 29, 2025 saa

Read More
Habari

UCSAF kufanya utafiti kubaini sababu kata 17 kukosa mawasiliano

January 28, 2025 Admin

Chunya. Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya, Mbarak Batenga amesema timu ya wataalamu kutoka Mfuko wa Fursa ya Maendeleo kwa Wote ( UCSAF),

Read More
Habari

Adaiwa kujinyonga kisa kuachwa na mpenzi wake

January 28, 2025 Admin

Arusha. Elirehema Mollel (32) mkazi wa Oldadai mkoani Arusha anadaiwa kujinyonga kwa kile kinachodaiwa kuachwa na mpenzi wake ambaye ni mwanafunzi wa chuo. Elirehema amekutwa

Read More
Habari

Rais Samia ataja mikakati kuongeza umeme nchini

January 28, 2025 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametaja mikakati minne itakayowezesha kuongeza upatikanaji wa nishati ya umeme barani Afrika ifikapo mwaka 2030. Mikakati hiyo ni

Read More
Habari

Sh115 trilioni zaahidiwa mkutano wa nishati

January 28, 2025 Admin

Dar es Salaam. Jumla ya Sh115.15 trilioni zimeahidiwa na wadau mbalimbali ikiwamo Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) na Benki ya Dunia (WB) kwa ajili ya

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 27 28 29 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.