Wakali wa namba kikapu Dar

SUPASTAA wa Christ The King, Davidson Evarist anawaburuza wenzake katika utupiaji nyavuni kwenye mashindano ya Ligi Daraja la Kwanza Mkoa wa Dar es Salaam yanayoendelea kwenye viwanja vya Bandari, Kurasini. Davidson amegeuka kuwa tishio kutokana na namna anavyokabiliana na timu pinzani na pia wepesi wake katika kuzamisha mipira nyavuni hadi sasa akiwa amejikusanyia pointi 406….

Read More

Simulizi mwanafunzi aliyepigwa radi Bukombe

Bukombe. “Jana mchana tukiwa darasani mvua ilikua ikinyesha huku kukiwa na radi nyingi,  wanafunzi wenzangu wakawa wanapiga kelele nikatoka kwenye dawati nikasogea mbele kufika mbele nageuka nikamuona niliyekuwa nimekaa naye ameungua shingoni na tumboni.” Haya ni maneno ya Yohana Edward, mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Businda aliyelazwa katika Hospitali ya Wilaya…

Read More

Jinsi wanafunzi walivyopigwa na radi Bukombe

Bukombe. “Jana mchana tukiwa darasani mvua ilikuwa ikinyesha na radi nying, wanafunzi wenzangu wakawa wanapiga kelele nikatoka kwenye dawati nikasogea mbele kufika mbele, nageuka nikamuona niliyekuwa nimekaa naye ameungua shingoni na tumboni.” Haya ni maneno ya Yohana Edward mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Businda aliyelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Bukombe…

Read More

Polisi wastaafu wadai Sh97 bilioni

Dodoma. Jumla ya Sh97.12 bilioni zinadaiwa na polisi wastaafu, kati ya hizo madai yaliyohakikiwa na kuwasilishwa na Wizara ya Fedha kwa ajili ya malipo ni Sh75.21 bilioni. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo amesema hayo leo Januari 28, 2025 alipokuwa akijibu swali la mbunge wa viti maalumu (CCM), Maida Hamad Abdallah…

Read More

Lissu kuanza kazi rasmi ya uenyekiti Chadema kesho

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu anatarajiwa kuripoti makao makuu ya chama yaliyopo Mikocheni, Dar es Salaam kesho Januari 29, 2025 saa tano asubuhi na kuanza rasmi majukumu yake mapya. Lissu ataambatana na Makamu Mwenyekiti Bara, John Heche na Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa. Katika uchaguzi mkuu wa chama hicho uliofanyika…

Read More

Adaiwa kujinyonga kisa kuachwa na mpenzi wake

Arusha. Elirehema Mollel (32) mkazi wa Oldadai mkoani Arusha anadaiwa kujinyonga kwa kile kinachodaiwa kuachwa na mpenzi wake ambaye ni mwanafunzi wa chuo. Elirehema amekutwa akining’inia juu ya kamba katika nyumba anayoishi. Akizungumza leo Januari 28, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Justine Masejo amesema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa Mount…

Read More

Rais Samia ataja mikakati kuongeza umeme nchini

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametaja mikakati minne itakayowezesha kuongeza upatikanaji wa nishati ya umeme barani Afrika ifikapo mwaka 2030. Mikakati hiyo ni kuzalisha umeme kwa nishati mchanganyiko, kuongeza bishara ya umeme Afrika, kusambaza umeme vitongoji vyote Tanzania na kuongeza matumizi ya nishati safi ya kupikia. Amesema hayo leo Jumanne Januari 28,  2025…

Read More

Sh115 trilioni zaahidiwa mkutano wa nishati

Dar es Salaam. Jumla ya Sh115.15 trilioni zimeahidiwa na wadau mbalimbali ikiwamo Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) na Benki ya Dunia (WB) kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa ajenda 300 ambayo ni lengo kuu la mkutano wa kimataifa wa nishati Afrika. Fedha hizo zinalenga kuanza kuchochea ufikishaji wa umeme kwa Waafrika milioni 300 hadi kufikia…

Read More