Kigogo Chadema atangaza nia urais Zanzibar

Unguja. Licha ya kutangaza dhamira yake ya kugombea urais Zanzibar, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar, Said Mzee Said amesema bado msimamo wa chama hicho upo palepale bila ya kuwepo kwa mabadiliko ya sheria na mifumo hakutakuwa na uchaguzi wa Tanzania. Said anatangaza nia ya kugombea nafasi ya urais kuvaana na…

Read More

Mbunge CCM ahoji utekaji bungeni, Spika Tulia ampa utaratibu

Dodoma. Mbunge wa Iringa Mjini (CCM), Jesca Msambatavangu ameihoji Serikali imejipangaje kudhibiti wizi wa binadamu maarufu utekaji. Swali hilo limekuja wakati ambao kuna matukio ya utekaji yaliyotokea mwaka 2023 na 2024 huku baadhi ya wanasiasa na wafanyabiashara wakidaiwa kutekwa na watu wasiojulikana. Matukio hayo yaliyotikisa ni mauaji ya kada wa mjumbe wa sekretarieti ya Chama…

Read More

Morocco achora ramani ya kutoboa kundi C Afcon

WAKATI Watanzania wakiendelea kulipigia hesabu ndefu kundi la Taifa Stars katika michuano ya AFCON 2025, kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Seleman ‘Morocco’ ametoa mtazamo wake na namna watakavyokiandaa kikosi kwenda kushindana na sio kushiriki pekee. Katika michuano hiyo itakayoanza Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026 nchini Morocco, Taifa Stars imepangwa kundi C…

Read More

Mpango wa Jiko la jua unakusudia kupanua ufikiaji wa nishati safi nchini Angola – maswala ya ulimwengu

Maoni na Judite Toloko da Silva, Heila Monteiro (Luanda, Angola) Jumanne, Januari 28, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Luanda, Angola, Jan 28 (IPS) – Upataji wa nishati ni muhimu kwa maendeleo endelevu, lakini kwa jamii nyingi za vijijini, bado haijafikiwa. Nchini Angola, kulingana na sensa ya kilimo ya 2019-2020, vijiji vingi vya vijijini ukosefu…

Read More

TANESCO Yatoa Elimu Kuhusu Nishati Safi na Miradi ya Umeme Katika Mkutano wa Nishati wa Afrika

Shirika la Umeme Tanzania, TANESCO, linashiriki katika Maonesho kando ya Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi wa Afrika (African Energy Summit) unaofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC). Mkutano huo umeanza leo Januari 27, 2025 unawakutanisha Wakuu wa Nchi Barani Afrika kujadili mikakati ya upatikanaji wa nishati ambapo lengo kuu ni kuwafikishia…

Read More