Maswali tata kauli ya Rais Samia moto Kariakoo

Dar es Salaam. Hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kueleza moto uliowaka mwaka 2021 katika Soko la Kariakoo ulichomwa kwa makusudi, umeibua maswali tata. Maswali hayo, yamejikita katika muktadha wa tukio lenyewe, huku mengine yakielekezwa kwenye eneo la namna Serikali ilivyoshughulikia tukio hilo. Miongoni mwa maswali hayo ni kina nani  wanaotuhumiwa kuhusika, wameshachukuliwa hatua gani,…

Read More

Ulega: Sheikh Idd amefariki kabla hajatimiza ndoto yake

Handeni. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema marehemu Sheikh Mohamed Idd amefariki dunia kabla ya kutimiza ndoto yake ya kukamilisha kitabu alichokuwa akiandika kuhusu mambo 10 muhimu ya kuzingatia kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025. Waziri Ulega ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Januari 31, 2025 wakati wa maziko ya Sheikh Idd yaliyofanyika katika Kijiji cha Mkata…

Read More

Mahakama ya Kisutu yafungwa mikono kesi ya Dk Slaa

Dar es Salam. Baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) kuwasilisha nia ya kukata rufaa Mahakama ya Rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama kuhusu dhamana ya Dk Wilbrod Slaa, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imefungwa mikono kuendelea na suala hilo. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imesema kwa sasa imefungwa mikono kuendelea na kesi hiyo ya…

Read More

Gomez wa Fountain Gate atengewa mamilioni Wydad Casabalanca

WAKATI ikiwa inaendelea kufukuzia saini ya nyota wawili wa Yanga, Clement Mzize na Stephane Aziz KI, klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco imekamilisha dili la kumnasa mshambuliaji wa Fountain Gate, Seleman Mwalim ‘Gomez’ kwa mkataba wa miaka minne wenye thamani ya Sh891 milioni. Gomez anaichezea Fountain Gate kwa mkopo kutoka Singida Black Stars na inaelezwa…

Read More

KKKT KUSHIRIKIANA NA TRA KUTOA ELIMU YA KODI

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) linatarajia kuanza kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutoa elimu ya Kodi makanisani ili kuongeza idadi ya walipakodi Kodi kwa hiari na kuleta usawa katika ulipaji wa Kodi. Hayo yamebainishwa katika kikao cha pamoja baina ya Askofu Mkuu wa KKKT Dk. Alex Malasusa na Kamishna Mkuu wa…

Read More