Lengo Letu Ni Kuiteka Kinshasa – Global Publishers

Kiongozi wa Muungano wa Waasi wa Congo River Alliance unaolijumuisha kundi la wapiganaji wa M23 waliofanikiwa kuuteka Mji wa Goma, Corneille Nangaa amesema lengo lao siyo kuiteka Goma pekee bali wanaitaka Kinshasa ili kumuondoa madarakani Rais Felix Tshisekedi. Kauli hiyo inakuja muda mfupi baada ya waasi wa M23 kuushikilia Uwanja wa Ndege…

Read More

VIDEO: Mkutano wa Nishati Dar, mjini kweupe

Dar es Salaam. Ukienda mjini leo, unaweza kuhisi ni sikukuu au mwisho wa juma (weekend), baada ya barabara kufungwa kutokana na ugeni wa marais na viongozi mbalimbali wanaoshiriki mkutano wa kimataifa wa Nishati unaoanza leo, Januari 27, 2025 jijini Dar es Salaam. Ilivyozoeleka siku ya Jumatatu katikati ya mji, kuna mishemishe na purukushani za hapa…

Read More

Somo la maadili lisimame lenyewe shuleni

Hivi karibuni nimeona pendekezo la mtalaa ulio na mabadiliko makubwa katika elimu. Mabadiliko makubwa niliyoona ni haya: kwanza kuingiza humo elimu ya ufundi kuanzia madarasa ya chini, pili, kupunguza masomo ili mwanafunzi asiwe na kazi kubwa mno ya kukariri, tatu, kuwa na somo la historia ya Tanzania na maadili. Hoja yangu leo ni kuhusu somo…

Read More

Guterres inatutaka tusamehe maendeleo na fedha za kibinadamu kutoka kwa misaada 'pause' – maswala ya ulimwengu

Agizo la mtendaji wa Rais Trump wiki iliyopita alitaka misaada yote ya kigeni kutathminiwa upya ili kuhakikisha kuwa inazingatia vipaumbele vyake vipya vya sera za kigeni. Wigo wa haraka wa agizo hilo haukuwa wazi lakini mnamo Ijumaa, kulingana na ripoti za habari, Katibu wa Jimbo la Merika Marco Rubio alitoa agizo la kuweka fedha yoyote…

Read More

Kinachoendelea sasa viongozi, marais wakiwasili

Dar es Salaam. Marais wa nchi 19 na wakuu wa Serikali kadhaa tayari wamewasili nchini, kwa ajili ya mkutano wa nishati barani Afrika unaohitimisha leo jijini hapa. Nchi ambazo marais wake tayari wamewasili Dar es Salaam kwa ajili ya mkutano huo ni Madagascar, Lesotho, Visiwa vya Comoro, Guinea Bissau, Botswana, Malawi, Burundi, Mauritania, Ghana, Ethiopia, Jamhuri…

Read More

Tuweke nguvu hii hapa Kiswahili kwa wageni

Ufundishaji na ujifunzaji wa lugha wa kigeni ni mchakato rasmi na wa makusudi wa kujifunza lugha isiyo ya mjifunzaji. Hii ni lugha ambayo huzungumzwa na jamii iliyo nje ya mazingira ya mjifunzaji wa lugha hiyo. Mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji wa lugha ya kigeni, unafanyika katika eneo rasmi elekezi kwa kuhusisha hali ya ung’amuzi tambuzi….

Read More

Ikanga Speed aibua presha mpya Yanga

KUNA wachezaji watatu ndani ya kikosi cha Yanga walioibua presha mpya inayoweza kubadilisha upepo ndani ya timu hiyo siku chache zijazo wakati Ligi Kuu Bara itakaporejea. Wachezaji hao watatu ni winga mpya, Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’, beki wa Israel Mwenda na kiungo mshambuliaji Maxi Mpia Nzengeli, ambao wameibua presha kwa nyota waliokuwa wakitumika katika nafasi…

Read More

Dabi ya Cecafa kuhamia Morocco Afcon 2025

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imepangwa Kundi C katika michuano ya Afcon 2025 itakayofanyika nchini Morocco ikishirikisha timu 24. Katika droo hiyo iliyochezeshwa leo Jumatatu Januari 27, 2025 nchini Morocco, Taifa Stars imepangwa na timu za Nigeria, Tunisia na Uganda. Hii itakuwa mara ya nne kwa Stars kushiriki Afcon baada ya kufanya hivyo…

Read More