Hatua muhimu kwa Afrika kutimiza Ajenda 300

Dar es Salaam. Ngwe ya kwanza ya mkutano wa wakuu wa nchi Afrika kuhusu nishati imekamilika na kuibua matumaini ya kufikiwa kwa lengo tarajiwa, huku Serikali za Afrika zikitwishwa mzigo wa masuala ya kisera zinayopaswa kuyafanyia kazi. Matumaini ya kufikiwa kwa malengo hayo yanatokana na ahadi za fedha kutoka taasisi mbalimbali za kifedha, kuwezesha utekelezaji…

Read More

RADI YAUA WANAFUNZI 7 GEITA

Na Nasra Ismail Geita Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Geita radi imeua wanafunzi saba wa darasa moja katika shule ya sekondari Businda iliyopo wilayani Bukombe mkoani Geita. Mkuu wa wilaya ya Bukombe Paskasi Muragiri amethibitisha kuwepo kwa vifo saba na majeruhi 82 ambao walikutwa na kadhia hiyo wakiwa darasani wakiendelea na masomo. Aidha Muragiri ameongeza…

Read More

RC Macha azishukia shule binafsi kurudisha wanafunzi madarasa

Shinyanga. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha, amewaonya wamiliki wa shule binafsi kuacha tabia ya kuwarudisha madarasa wanafunzi wanaoshindwa kufikia alama wanazozitaka.  Amesema hawana mamlaka hiyo, bali Serikali ndiyo inayoweza kufanya hivyo kupitia mtihani wa darasa la nne na kidato cha pili. Mkuu huyo wa mkoa (RC), ametoa onyo hilo leo Jumatatu, Januari 27,…

Read More

Halmashauri ya Kibaha yapandishwa hadi kuwa Manispaa

Kibaha. Rais Samia Suluhu Hassan ameupandisha Mji wa Kibaha, Mkoa wa Pwani, kutoka Halmashauri na kuwa Manispaa lengo likiwa ni kukuza hadhi ya maeneo ya kiutawala na kuboresha huduma kwa wananchi. Halmashauri ya Mji wa Kibaha ilianzishwa Septemba 2004, na shughuli za kiuchumi za wananchi waishio humo ni ujasirimali, kilimo, ufugaji, huku baadhi wakiwa ni…

Read More

Ahadi za matrilioni ya ufadhili wa nishati Afrika

Dar es Salaam. Wakati Bara la Afrika likielekea katika utekelezaji wa Agenda 300 Afrika inayolenga kuwafikia Waafrika milioni 300 kwa umeme, baadhi ya mashirika ya fedha na nishati yameahidi kutoa fedha kufadhili miradi ya ajenda hiyo. Inakadiriwa kuwa zaidi ya watu milioni 600 Afrika hawana uhakika wa kupata nishati ya umeme, hali inayodidimiza maendeleo ya…

Read More

Amani ya Kudumu Kati ya Waisraeli na Wapalestina – Masuala ya Ulimwenguni

Ingawa kumbukumbu za siku za nyuma haziwezi kusahaulika wala kutupiliwa mbali, msisitizo leo unahitaji kuwekwa kithabiti katika kupatikana kwa amani ya kudumu kati ya Waisraeli na Wapalestina. Credit: UNRWA Maoni na Joseph Chamie, Sergio DellaPergola (portland, usa/jerusalem) Jumatatu, Januari 27, 2025 Inter Press Service PORTLAND, MAREKANI/JERUSALEM, Jan 27 (IPS) – Kufuatia makubaliano ya kusitisha mapigano…

Read More

Radi yaua wanafunzi saba, yajeruhi 82 wakiwa darasani Geita

Geita. Wanafunzi saba wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Businda, iliyopo wilayani Bukombe, Mkoa wa Geita, wamefariki dunia na wengine 82 kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakiwa darasani. Mkuu wa Wilaya ya Bukombe, Paskas Muragili, akizungumza na Mwananchi, amesema tukio hilo limetokea leo Jumatatu, Januari 27, 2025, akieleza kuwa miongoni mwa majeruhi…

Read More