Dk Rugazia: Eneo la jinai linawasumbua wananchi

Na Mwandishi Wetu WAKILI wa Kujitegemea Dk Aloys Rugazia amesema eneo la jinai la kubambikiwa kesi ni eneo ambalo linasumbua watu wengi katika jamii, wananchi wamekuwa wakilalamika kwamba hiyo ni changamoto wanayokutana nayo katika maisha yao. Dk Rugazia amesema hayo leo katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kibasila iliyopo jijini Dar es Salaam wakati wa…

Read More

M23 Waukamata Mji Wa Goma – Global Publishers

Last updated Jan 27, 2025 Waasi wa M23 wanaelezwa kuungwa mkono na Rwanda wametangaza kuwa wameukamata mji mkubwa wa Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), mapema leo Jumatatu. Taarifa hiyo ilitolewa dakika chache kabla ya muda wa saa 48 zilizotolewa na jeshi la Kongo kusalimisha silaha kumalizika. Waasi…

Read More

Wananchi walivyopita kwa miguu juu ya Ziwa Victoria

Mwanza. Shangwe imeibuka baada ya abiria waliokuwa wakisubiri kuvuka eneo la Kigongo wilayani Misungwi kwenda Busisi wilayani Sengerema mkoani Mwanza kuruhusiwa kupita kwa miguu juu ya Ziwa Victoria kupitia daraja la muda linalotumiwa na mkandarasi anayejenga daraja la JPM. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Januari 27, 2025, Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa…

Read More

Morrison, Yondani wampa mzuka kipa KenGold

KIKOSI cha KenGold kinaendelea kujifua kabla ya kuanza ngwe ya lala salama ya Ligi Kuu Bara, huku kipa namba moja wa timu hiyo, Castor Mhagama akisema ujio wa wachezaji wapya waliosajiliwa dirisha dogo akiwamo Bernard Morrison ‘BM’ , Kelvin Yondani na wengine umeongeza mzuka kikosini. Mhagama alisema ujio wa wachezaji hao utasaidia kuinusuru timu hiyo,…

Read More

MASABO AIPONGEZA DCEA KWA KUENDELEA KUELIMISHA JAMII MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, Mhe. Juliana Masabo, ameipongeza Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya kwa juhudi zake kubwa katika kuelimisha jamii kuhusu madhara ya dawa za kulevya. Akizungumza wakati alipotembelea banda la Mamlaka katika maadhimisho ya Wiki ya Sheria mkoani Dodoma, Mhe. Masabo alisisitiza umuhimu wa kuendelea kuelimisha jamii, hasa wanafunzi,…

Read More