ZPL kazi inaanza upya, Junguni ikipiga mkwara

UHONDO wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) unatarajia kuendelea Januari 31 wakati duru la pili litakapoanza, huku Junguni United ikiipiga mkwara Chipukizi itakayovaana nayo kwenye Uwanja wa Polisi FFU Finya, Pemba. Junguni itavaana na Chipukizi ikiwa ni siku tatu tangu duru hilo kuanza huku Mlandege ikiwa kileleni mwa msimamo ikiwa na pointi 30 baada ya mechi…

Read More

Tanzania Kinara Usambazaji Nishati ya Umeme Vijijini

Na. Mwandishi wetu – Dar es Salaam Tanzania imepongezwa kwa kufikisha nishati ya umeme hadi ngazi ya vijiji hali inayoendelea kuchochea maendeleo na ustawi kwa wananchi vijijini. Hayo yamesemwa na Rais wa Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina wakati wa mkutano wa nishati Afrika leo Januari 27, 2025 jijini Dar es Salaam. Amesema…

Read More

Kigogo Chadema ajipanga kupigania sheria ya wazee

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha), Susan Lyimo amesema katika uongozi wake atapigania kutungwa kwa sheria ya wazee ili kulinda maslahi na heshima yao katika jamii. Lyimo amebainisha hayo leo Januari 27, 2027 jijini Dar es Salaam wakati wa mahojiano maalumu na Mwananchi,  zikiwa zimepita wiki mbili tangu alipochaguliwa kuwa…

Read More

Mashirika yatoa ahadi kufadhili nishati Afrika

Dar es Salaam. Wakati Bara la Afrika likielekea katika utekelezaji wa Agenda 300 Africa inayolenga kuwafikia Waafrika milioni 300 kwa umeme, baadhi ya mashirika ya fedha na nishati yameahidi kutoa fedha kufadhili miradi ya ajenda hiyo. Inakadiriwa kuwa zaidi ya watu milioni 600 Afrika hawana uhakika wa kupata nishati ya umeme, hali inayodidimiza maendeleo ya…

Read More

Namna Afrika inavyoweza kutoka gizani

Dar es Salaam. Afrika sio maskini wa idadi ya megawati za umeme, bali ukata unaoyakabili mataifa ya bara hilo ni wa uwezo wa kusafirisha na hatimaye kuwafikishia wananchi nishati hiyo. Msingi wa hoja hiyo ni ukweli kwamba baadhi ya mataifa ya Afrika ama yanazalisha umeme kuzidi mahitaji yao, au yana vyanzo vyenye uwezo wa kuzalisha…

Read More

Hamadi: Kuna cha kujifunza kwa Bocco, Nyoni

KOCHA wa JKT Tanzania, Hamad Ally amesema kuna kitu cha kujifunza kwa wachezaji chipukizi kupitia wakongwe John Bocco anayekipiga JKT, Erasto Nyoni (Namungo) na Kelvin Yondani (KenGold) namna ya kulinda vipaji kwa kucheza muda mrefu. Wakongwe hao wana zaidi ya miaka 15 wakikiwasha Ligi Kuu Bara  wakibebwa na namba wakiwaacha mbali wachezaji vijana wanaoibuka na…

Read More