Usajili wa Sowah, Pokou Singida BS washtua

KOCHA wa zamani wa Yanga, Hans Pluijm amesema kutua katika Ligi Kuu Bara kwa majina ya nyota wa kimataifa akiwamo Jonathan Sowah na Serge Pokou katika kikosi cha Singida Black Stars kutakiimarisha kikosi hicho. Pluijm alisema amekua akiifuatilia Ligi Kuu Bara na naamini ndani ya misimu miwili au mitatu ijayo Singida Black Stars inaweza kuwa…

Read More

Morison, Yondani wampa mzuka kipa KenGold

KIKOSI cha KenGold kinaendelea kujifua kabla ya kuanza ngwe ya lala salama ya Ligi Kuu Bara, huku kipa namba moja wa timu hiyo, Castor Mhagama akisema ujio wa wachezaji wapya waliosajiliwa dirisha dogo akiwamo Bernard Morrison ‘BM’ , Kelvin Yondani na wengine umeongeza mzuka kikosini. Mhagama alisema ujio wa wachezaji hao utasaidia kuinusuru timu hiyo,…

Read More

Vuguvugu Linaloongezeka la Upinzani Linaelekea Kufanywa Upya Kisiasa, Kuzuia Mmomonyoko wa Demokrasia nchini Hungaria – Masuala ya Ulimwenguni.

Viongozi wa Chama cha Second Reform Era chenye msimamo mkali wafanya maandamano ya kupinga ufisadi katikati mwa Budapest, Hungary, kufuatia tangazo la vikwazo vya serikali ya Marekani dhidi ya Waziri wa Hungary Antal Rogan kwa kuhusika kwake katika ufisadi, Januari 2025. Credit: Catherine Wilson/IPS na Catherine Wilson (budapest) Jumatatu, Januari 27, 2025 Inter Press Service…

Read More

Simba yatinga 32-bora FA na rekodi mbili

SIMBA imeanza michuano ya Kombe la Shirikisho kibabe kwa kuifumua Kilimanjaro Wonders kwa mabao 6-0, huku ikiandika rekodi mbili katika hatua ya 64 Bora kwenye Uwanja wa KMC Complex, jijini Dar es Salaam. Rekodi ya kwanza iliyowekwa na timu hiyo ni kufunga bao la mapema likiwekwa sekunde 18 baada ya filimbi ya kwanza ya kuanzisha…

Read More

Mkutano wa nishati ulivyokwamisha hatima ya Dk Slaa mahabusu

Dar es Salaam. Mkutano wa wa nchi za Afrika kuhusu nishati unaofanyika nchini kwa siku mbili kuanzia leo Jumatatu, Januari 27-28, 2025, umekwamisha kutolewa uamuzi wa mashauri mawili yaliyofunguliwa na mwanasiasa maarufu nchini, Dk Wilbrod Slaa, kuhusiana na kesi ya jinai inayomkabili. Dk Slaa, aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),…

Read More

Nafasi ya nishati ya uhakika kwa maendeleo ya Afrika

Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Amina Mohammed, ametaja maeneo manne yanayohitaji kufanyiwa kazi ili kuhakikisha malengo yaliyowekwa yanafikiwa kikamilifu. Maeneo hayo ni pamoja na kutengeneza mazingira mazuri ya sera yanayowiana, mifumo, fedha, na taasisi imara. Amesema hayo leo Jumatatu, Januari 27, 2025, wakati akitoa hotuba katika mkutano wa wakuu…

Read More

MATEMBEZI YA KUADHIMISHA KUZALIWA KWA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA- KIZIMKAZI – MKOA WA KUSINI UNGUJA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kushirikiana na kufanya kazi kwa pamoja na Taasisi binafsi kwa lengo la kuwaondoshea wananchi changamoto mbali mbali zinazowakabili. Ameyasema hayo katika maadhimisho ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu…

Read More