Wapelistina Wahamishwe Gaza – Global Publishers

Last updated Jan 27, 2025 Rais Donald Trump wa Marekani Rais Donald Trump wa Marekani amependekeza Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wahamishwe katika ardhi yao hiyo na kupelekwa nchi jirani kama Misri na Jordan.Pendekezo lisilo la kawaida ambalo lilipingwa hata na utawala wa mtangulizi wake Joe Biden. Akizungumza na waandishi wa habari ndani ya…

Read More

Usaili wa walimu wa Kiswahili wasogezwa mbele

Dodoma. Usaili wa walimu wa daraja la 3C Kiswahili uliopaswa kufanyika Januari 28, 2025, umesogezwa mbele hadi Januari 30, 2025, ili kupisha mkutano wa siku mbili wa nishati wa wakuu wa nchi za Afrika unaoanza leo, Jumatatu, Januari 27, 2025, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana, Jumapili, Januari 26, 2025, na…

Read More

WB, AfDB wataka ushirikiano kuongeza nishati Afrika

Dar es Salaam. Benki ya Dunia (WB) na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) zimesema ili Afrika ipate umeme wa uhakika, lazima kuwe na ushirikiano kati ya Serikali, mashirika ya fedha, na asasi za kiraia kwa kuweka mipango itakayoleta matokeo ya uhakika. Hayo yameelezwa leo Jumatatu, Januari 27, 2025, katika mkutano wa Afrika wa nishati…

Read More

Rais Banga asema umeme ni haki ya binadamu

Dar es Salaam. Rais wa Benki ya Dunia, Ajay Banga, amesema nishati ya umeme ni haki ya binadamu kwani huwezesha watu kufanya wanachokitaka katika nyanja nyingine za maisha ya kila siku. Banga amesema hayo leo Jumatatu, Januari 27, 2025, katika siku ya kwanza ya kongamano la nishati linalofanyika hapa nchini kwa siku mbili, lilikutanisha wakuu…

Read More

Muundo wa mkutano wa nishati Dar

Dar es Salaam. Leo Januari 27, umeanza mkutano wa kimataifa wa siku mbili kuhusu nishati Afrika unaowakutanisha viongozi mbalimbali wa bara hili, unaendelea hivi sasa katika Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam. Mkutano huo unashirikisha viongozi wengi wa Bara la Afrika unajadili mambo mbalimbali kuhusu nishati huku ukiwa na mjadala…

Read More

Bajaji watii agizo, baadhi ya bodaboda wakomaa

Dar es Salaam. Wakati madereva wa bajaji wakitii agizo la Jeshi la Polisi kutoingia katikati ya jiji la Dar es Salaam, hali ni tofauti kwa baadhi ya waendesha pikipiki maarufu bodaboda wameonekana wakikatisha baadhi ya maeneo. Januari 25, 2025, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu lilitangaza kufungwa kwa barabara tisa sambamba na barabara nyingine tisa kwa…

Read More