TRC yaongeza treni, barabara Dar zikifungwa

Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuongeza huduma za treni za mijini kati ya Stesheni ya Kamata na Pugu, jijini Dar es Salaam kwa siku ya leo Januari 27 na 28, 2025, kutokana na kufungwa kwa baadhi ya barabara za kuingia katikati ya jiji kutokana na mkutano wa nishati wa wakuu wa…

Read More

Mkutano wa Nishati Dar, mjini kweupe

Dar es Salaam. Ukienda mjini leo, unaweza kuhisi ni sikukuu au mwisho wa juma (weekend), baada ya barabara kufungwa kutokana na ugeni wa marais na viongozi mbalimbali wanaoshiriki mkutano wa kimataifa wa Nishati unaoanza leo, Januari 27, 2025 jijini Dar es Salaam. Ilivyozoeleka siku ya Jumatatu katikati ya mji, kuna mishemishe na purukushani za hapa…

Read More

Aliyepandikizwa Figo Ya Nguruwe Aweka Rekodi Duniani – Video – Global Publishers

Towana Looney, mwanamama kutoka Alabama nchini Marekani ameingia kwenye rekodi baada ya kupandikizwa figo ya nguruwe ambapo mpaka sasa, zikiwa zimepita siku 61 tangu afanyiwe upandikizaji huo, anaendelea vizuri kabisa. Mwanamama huyo alipandikizwa figo ya nguruwe baada ya kupata matatizo ya figo zake ambapo maendeleo yake ya kiafya, yamezua gumzo kubwa duniani kote. “Mimi ni…

Read More

M23 yadaiwa kuwaua walinda amani 13 wa UN

Goma. Waasi wa kundi la M23 wanadaiwa kuwaua wanajeshi na walinda amani 13 wa Umoja wa Mataifa (UN) katika majibizano ya risasi yaliyotokea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Shirika la Habari la Associated Press limeripoti jana, Januari 26, 2025 kuwa M23 walitekeleza mauaji hayo Jumamosi katika kile kinachotajwa kuwa uvamizi mpya wa…

Read More

PUMA ENERGY TANZANIA YAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA MAZINGIRA MAZURI YA UWEKEZAJI, YANG’ARA TUZO TRA

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Puma Energy Tanzania imempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira bora na wezeshi kwa wawekezaji nchini, hivyo kuwezesha kulipa kodi kwa serikali na kuchochea maendeleo. Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania, Fatma Abdallah baada ya kampuni hiyo kuibuka kinara kwa kupokea tuzo nne za…

Read More

Mapya sakata la Rais wa Korea Kusini

Dar es Salaam. Waendesha mashtaka wa Korea Kusini wamemfungulia mashtaka Rais Yoon Suk Yeol aliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za kuongoza uasi na kuweka sheria ya kijeshi kwa muda mfupi Desemba 3, mwaka jana. Mawakili wa Yoon wamekosoa mashtaka hayo wakisema ni uamuzi mbaya zaidi uliotolewa na idara ya mashtaka, huku chama kikuu cha upinzani kikikaribisha…

Read More