Mkutano wa nishati: JNICC kumeanza kuchangamka

Dar es Salaam. Mambo yameanza kuchangamka katika viunga vya kituo cha mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), unakofanyika mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu nishati. Kabla ya ratiba rasmi ya wahudhuriaji kuingia ukumbini, tayari burudani mbalimbali zimeanza kushuhudiwa nje ya kituo hicho. Ngoma ya Msewe, yenye asili yake Unguja visiwani Zanzibar, ndiyo iliyofungua milango…

Read More

Ramovic afunguka kilichomkwamisha Ikanga Speed

Kikosi cha Yanga juzi kilishuka uwanjani na kuifumua Copco kwa mabao 5-0 katika mechi ya Kombe la Shirikisho, huku mashabiki wakiachwa njia panda baada ya kumkosa uwanjani winga wao mpya Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’, hata hivyo imefichuka sababu zilizomzuia nyota huyo kushindwa kucheza. Kocha wa Yanga Sead Ramovic ameliambia Mwanaspoti, sababu ya kukosekana kwa winga…

Read More

Fadlu ashtuka apanga jeshi kuivaa Tabora United

SIMBA jana kilikuwa uwanjani kumalizana na Kilimanjaro Wonders katika mechi ya kiporo ya Kombe la Shirikisho, lakini mapema kocha mkuu wa kikosi hicho, Fadlu Davids ikielezwa ameshtuka mapema na kuanza kulipanga jeshi alilonalo kabla ya kurejea katika mechi za Ligi Kuu Bara. Simba inatarajiwa kuwa wageni wa Tabora United katika mchezo wa kiporo wa duru…

Read More

Yanga yalegeza kwa Mzize, ishu nzima iko hivi

BAADA ya kukaushia dili kadhaa zilizotua mezani kwa ajili ya kutaka kumnunua Clement Mzize, hatimaye mabosi wa klabu hiyo wameamua kulegeza na kuweka bayana sasa wapo tayari kumuuza. Ipo hivi. Kwa sasa ndani ya Yanga, hakuna mchezaji anawapasua vichwa mabosi wa klabu hiyo kama mshambuliaji huyo anayeendelea kuzipishanisha klabu mbalimbali zikiwania saini yake na inaelezwa…

Read More

Taarifa za moja kwa moja huku Baraza la Usalama likifanya mkutano wa dharura – Masuala ya Ulimwenguni

© UNICEF/Jospin Benekire Mapigano yamesababisha maelfu ya watu kuyahama makazi yao mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, huku wengi wakikimbilia kambi karibu na Goma. (faili) Jumapili, Januari 26, 2025 Habari za Umoja wa Mataifa Ghasia na mauaji yanayoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yalisababisha mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama Jumapili…

Read More

WAZIRI JAFO ATAKA HUDUMA KWA WAKATI ZAHANATI YA BWAMA.

Waziri wa Viwanda na Biashara na Mbunge wa Jimbo la Kisarawe Mhe. Dkt.Selemani Jafo(Mb) amemtaka Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe kuhakikisha huduma ya Afya inapatikana wakati wote katika Zahanati ya Bwama. Amebainisha hayo wakati anazindua Zahanati ya Bwama iliyopo Wilaya ya Kisarawe Janauri 25,2025 ambapo amesisitiza huduma hiyo ya utaoji wa afya isisimame ili…

Read More

MFUMO ULIOBORESHWA WA TANCIS KUBORESHA TARATIBU ZA FORODHA NCHINI.

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfumo mpya wa Tanzania Customs Integrated System (TANCIS) utarahisisha uingizwaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi na kuingia ndani kwa haraka, jambo litakalosaidia kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na watafanyakazi mchana na usiku. Mfumo huo uliozinduliwa hivi karibuni umebuniwa kuboresha ufanisi, kuhakikisha usahihi,…

Read More