Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 4
Michezo

Gomez wa Fountain Gate atua Wydad Casabalanca

January 31, 2025 Admin

WAKATI ikiwa inaendelea kufukuzia saini ya nyota wawili wa Yanga, Clement Mzize na Stephane Aziz KI, klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco imekamilisha dili la

Read More
Habari

Serikali yasema utapeli wa mitandaoni ni janga

January 31, 2025 Admin

Dodoma. Serikali imesema utapeli kwa njia ya mtandao bado ni tatizo huku ikaelezwa chanzo ni kukua kwa teknolojia. Hoja ya utapeli mtandaoni imebuka bungeni leo

Read More
Habari

Jumuiya ya kimataifa yaishinikiza Rwanda kuondoa vikosi vyake DRC

January 31, 2025 Admin

Jumuiya ya kimataifa imeitaka Rwanda kuondoa wanajeshi wake nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) na kuacha kuwafadhili waasi wa M23 wanaosema kwamba wanalenga kusonga

Read More
Habari

Visa na mikasa vya Bernard Ndalije, anayetunza makaburi kwa miaka 30

January 31, 2025 Admin

Dodoma. “Mke wangu alifariki dunia ghafla baada ya kuugua kwa siku tatu tu. Alikuwa anavuja damu kila mahali tulipompeleka hospitali walisema ana shinikizo la damu,

Read More
Habari

Sasa ni rasmi wanaojifungua watoto njiti waongezewa likizo ya uzazi

January 31, 2025 Admin

Dodoma. Bunge limepitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria za Kazi namba 13 wa Mwaka 2024, ambapo sasa likizo ya uzazi kwa mwajiriwa ambaye atajifungua mtoto

Read More
Michezo

Samson Mbangula kukosa mecho zote Ligi Kuu

January 31, 2025 Admin

STRAIKA tegemeo wa Tanzania Prisons, Samson Mbangula atakosa mechi zote zilizobaki msimu huu baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti, Jumatatu wiki hii, katika Taasisi ya

Read More
Michezo

Mastaa Pamba watuhumiwa kubeti Ligi Kuu

January 31, 2025 Admin

WAKATI kukiwa na mijadala kuhusu wachezaji wa ligi mbalimbali za soka nchini Tanzania kuhusika katika michezo ya kubashiri (betting) na kupanga matokeo, kuna jambo limeibuliwa

Read More
Michezo

Mastaa Pamba watuhumiwa kupanga matokeo

January 31, 2025 Admin

WAKATI kukiwa na mijadala kuhusu wachezaji wa ligi mbalimbali za soka nchini kuhusika katika michezo ya kubashiri (betting) na kupanga matokeo, Mkuu wa Mkoa wa

Read More
Habari

Vigogo CCM wanavyopambana na ‘No reform, No election’ ya Lissu

January 31, 2025 Admin

Dar es Salaam. Kaulimbiu ya Chadema ya “No Reform, No Election” imewaibua vigogo wa CCM ambao kwa nyakati tofauti wameizungumzia majukwaani wakiipinga huku wakieleza kwamba

Read More
Kimataifa

Goma inakabiliwa na 'uharibifu' – maswala ya ulimwengu

January 31, 2025 Admin

Programu ya Chakula Duniani (WFP) alionya Alhamisi kuwa vifaa vya chakula vinapungua kwa hatari, wakati maji na umeme huzidisha mzozo. Mshtuko na kufungwa kwa Uwanja

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3 4 5 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.