Gomez wa Fountain Gate atua Wydad Casabalanca

WAKATI ikiwa inaendelea kufukuzia saini ya nyota wawili wa Yanga, Clement Mzize na Stephane Aziz KI, klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco imekamilisha dili la kumnasa mshambuliaji wa Fountain Gate, Seleman Mwalim ‘Gomez’ kwa mkataba wa miaka minne wenye thamani ya Sh891 milioni. Gomez anaichezea Fountain Gate kwa mkopo kutoka Singida Black Stars na inaelezwa…

Read More

Serikali yasema utapeli wa mitandaoni ni janga

Dodoma. Serikali imesema utapeli kwa njia ya mtandao bado ni tatizo huku ikaelezwa chanzo ni kukua kwa teknolojia. Hoja ya utapeli mtandaoni imebuka bungeni leo na Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson amesema haoni juhudi za kukomesha utapeli huo. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amesema hayo bungeni leo Januari 31, 2025…

Read More

Samson Mbangula kukosa mecho zote Ligi Kuu

STRAIKA tegemeo wa Tanzania Prisons, Samson Mbangula atakosa mechi zote zilizobaki msimu huu baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti, Jumatatu wiki hii, katika Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI), Dar es Salaam. Mchezaji huyo ambaye msimu uliopita aliifunga Simba mabao mawili katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara uliopigwa katika Uwanja wa Jamhuri, Morogoro…

Read More

Mastaa Pamba watuhumiwa kubeti Ligi Kuu

WAKATI kukiwa na mijadala kuhusu wachezaji wa ligi mbalimbali za soka nchini Tanzania kuhusika katika michezo ya kubashiri (betting) na kupanga matokeo, kuna jambo limeibuliwa Mkoani Mwanza na kuibua mijadala mingi miongoni mwa wadau. Jambo hilo limehusishwa moja kwa moja na baadhi ya mastaa wa klabu kongwe na maarufu jijini Mwanza ya Pamba Jiji ambayo inashiriki…

Read More

Mastaa Pamba watuhumiwa kupanga matokeo

WAKATI kukiwa na mijadala kuhusu wachezaji wa ligi mbalimbali za soka nchini kuhusika katika michezo ya kubashiri (betting) na kupanga matokeo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amefichua kuwa ameshawanasa baadhi ya wachezaji wa timu hiyo wakijaribu kuihujumu. Kauli hiyo ya kushtua ya Mtanda ambaye pia ni mlezi na mshauri wa timu hiyo aliitoa…

Read More

Vigogo CCM wanavyopambana na ‘No reform, No election’ ya Lissu

Dar es Salaam. Kaulimbiu ya Chadema ya “No Reform, No Election” imewaibua vigogo wa CCM ambao kwa nyakati tofauti wameizungumzia majukwaani wakiipinga huku wakieleza kwamba haina maana na kama wana hoja waende kuzungumza. Kaulimbiu hiyo inayosimamiwa na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ina maana kwamba hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna mabadiliko ya sheria zinazosimamia masuala…

Read More