JAFO AZINDUA WIKI YA SHERIA KISARAWE

Na Khadija Kalili Michuzi Tv. WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dkt.Selemani Jafo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kisarawe amezindua Wiki ya Sheria na kupokea maandamano kwenye Viwanja vya Chanzige. Ameyasema hayo Januari 24 2025 wakati akizindua Wiki ya Sheria kwa Wilaya ya Kisarawe ambapo ameitaka Mahakama ya Wilaya ya Kisarawe kuendelea kuwasikiliza wananchi…

Read More

Azania wavuka lengo mauzo ya hatifungani

Dar es Salaam. Wakati Benki ya Azania ikiweka historia ya kukusanya Sh63.3 bilioni ndani ya siku 32, asilimia 97 ya waliowekeza kwenye hati fungani hiyo ni wawekezaji mmoja mmoja. Mauzo hayo ni mara mbili zaidi ya kiwango kilichokuwa kimekusudiwa cha kukusanya Sh30 bilioni na nyongeza ya Sh15 bilioni mpaka kufika tamati ya mauzo Desemba 6,…

Read More

Maafisa wa UN wanataka kufuata mapigano baada ya watu 15 kuuawa huko Lebanon – maswala ya ulimwengu

Wakati uliowekwa katika makubaliano ya kusitisha mapigano ya Novemba “haujafikiwa”, kulingana na a Taarifa ya Pamoja Na Mratibu Maalum wa UN wa Lebanon Jeanine Hennis-Plasschaert na Mkuu wa UNS Amani ya UN, UNIFILna Kamanda wa Nguvu Aroldo Lázaro. Makubaliano kati ya Israeli na kikundi cha watu Hezbollah yalikuwa yamefikiwa baada ya zaidi ya mwaka wa…

Read More

‘Mfumo mpya wa Tancis iliyoboreshwa mwarobaini changamoto za kiforodha’

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua Mfumo Jumuishi wa Forodha Tanzania (Tancis) ulioboreshwa, ambao unatajwa  kuwa tiba ya matatizo yote ya kiforodha kwenye uondoshaji shehena bandarini, mipakani na  kwenye viwanja vya ndege Mfumo huo ambao umeboreshwa unaziunganisha taasisi 36 ukilenga  kuboresha ufanisi, kuhakikisha usahihi wa data na kupunguza ucheleweshaji wa shughuli za…

Read More

‘Wabunge wajitathmini wamefanya nini miaka mitano’

Dodoma. Mkutano wa 18 wa Bunge la 12 unaanza keshokutwa Jumanne, Januari 28, 2025 huku wachambuzi wa masuala ya siasa na wananchi wakiwashauri wabunge kuutumia muda uliobaki kujifanyia tathmini ya utekelezaji wa majukumu yao kwa miaka mitano. Kuanza kwa mkutano huo kunalifanya Bunge la 12 lililoanza Novemba 2020, kubakiza mikutano miwili kabla ya kumaliza ili…

Read More

Fahamu faida, masharti na hasara za urembo kwenye meno

Shinyanga. Tumezoea kuona baadhi ya watu wakiweka urembo katika meno yao, hata hivyo wengi wao hawajui faida na athari za kuweka urembo huo. Hata hivyo, wataalamu wa afya wana mapendekezo kwa wale wanaopendelea kuweka urembo huo, wakishauri  uwekwe kwa  wasio na magonjwa ya muda mrefu. Wasiopendekezwa kuweka urembo huo ni pamoja na wenye magonjwa ya…

Read More