Masoud apania rekodi Chama la Wana

KOCHA mpya wa Stand United ‘Chama la Wana’, Juma Masoud amesema licha ya kukabidhiwa timu hiyo wakati huu wa michezo ya mwisho wa msimu hana presha, huku malengo yake makubwa ni kuweka rekodi ya kuipandisha Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao. Kocha huyo wa zamani wa FGA Talents kwa sasa Fountain Gate, amejiunga na kikosi…

Read More

Wasira amtumia ujumbe Lissu, agusa udiwani na ubunge CCM

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema mabadiliko ya Katiba ya chama hicho yaliyofanyika yatawawezesha kupata wagombea wa udiwani na ubunge wazuri na si mzigo, huku akivionya vyama vya upinzani akisema: “Ikulu wataendelea kuishuhudia kwenye runinga tu.” Mbali na hilo, Wasira amelitaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kushughulikia…

Read More

Adebayor apiga mkwara Singida | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Victorien Adebayor amepiga mkwara mapema kabla ya ngwe ya lala salama ya Ligi Kuu Bara kuanza wikiendi hii, kwa sasa amepata muda mzuri wa kufanya mazoezi na timu, hivyo anarudi na moto. Adebayor aliyesajiliwa dirisha kubwa alianza kutumika katika mechi tatu za Ligi Kuu ikiwamo ile ya kwanza dhidi ya…

Read More

Sababu Tanzania kuuza umeme nje ya nchi

Dar es Salaam. Kwa nini Tanzania iuze umeme nje ya nchi, ilhali bado haijatosheleza mahitaji yake ya ndani? Swali hilo linawakilisha maswali lukuki wanayojiuliza baadhi ya Watanzania, kuhusu uwezekano wa Tanzania kumulika nje wakati ndani mwake kuna giza. Msingi wa maswali hayo ni ukweli kwamba, upatikanaji wa umeme nchini ni takriban asilimia 75 kwa mujibu…

Read More

Pamba, Fountain zamgombea Sebo | Mwanaspoti

PAMBA Jiji na Fountain Gate zimepelekana Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kwa kile kinachodaiwa miamba hiyo yote miwili kudai beki wa kati wa kikosi cha Azam FC, Abdallah Kheri ‘Sebo’, aliyetolewa kwa mkopo zina uhalali wa kumtumia. Nyota huyo ni miongoni mwa wachezaji watano walioondoka ndani ya kikosi hicho cha matajiri wa Jiji la Dar…

Read More

Mbwembwe za Rais wa Bukina Faso kuwa kivutio Tanzania

Dar es Salaam. Rais wa mpito wa Bukina Faso, Kapteni Ibrahim Traore ambaye amekuwa kivutio kwa utaratibu wake wa kuvaa kombati za jeshi pamoja na kutembea na bastola kiunoni tofauti na marais wengine, ni miongoni mwa marais 25, watakaohudhuria mkutano wa kimataifa kuhusu nishati Afrika. Kapteni Traore mwenye umri mdogo wa miaka 34 kuliko marais…

Read More

Kipenseli ajitafuta mapemaa Bara | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Mashujaa, Balama Mapinduzi ‘Kipenseli’ amesema ameanza kujitafuta mapema kikosini kabla ya kurejea kwa Ligi Kuu Bara, akipania kutumua duru hilo la pili kuondoa gundu kwa kutofunga wala kuasisti ili amalize msimu kwa heshima. Nyota huyo wa zamani wa Alliance FC, Yanga na Coastal Union, aliliambia Mwanaspoti, kitendo cha kufunga wala kuwa na…

Read More

Mahinyila asema ‘No reforms no election’ ni amri ya wananchi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), Deogratius Mahinyila amesema kauli mbiu ya ‘No reforms, no election’ (Hakuna mabadiliko, hakuna uchaguzi) ni amri ya wananchi walioiweka Serikali madarakani. Kauli hiyo imekosolewa hivi karibuni na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira akisema chama hicho kiko tayari kwa mazungumzo ya maridhiano, lakini hakitaki…

Read More

Simba yatinga 32-Bora na rekodi mbili

SIMBA imeanza michuano ya Kombe la Shirikisho kibabe kwa kuifumua Kilimanjaro Wonders kwa mabao 6-0, huku ikiandika rekodi mbili katika hatua ya 64 Bora kwenye Uwanja wa KMC Complex, jijini Dar es Salaam. Rekodi ya kwanza iliyowekwa na timu hiyo ni kufunga bao la mapema likiwekwa sekunde 18 baada ya filimbi ya kwanza ya kuanzisha…

Read More