Sh5 bilioni kurekebisha maeneo yaliyoharibiwa

Unguja. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema wataendelea kuimarisha misitu katika maeneo yaliyoharibiwa ili kuongeza uzalishaji na usalama wa chakula nchini. Mratibu wa Mradi wa Mfumo wa Chakula, Matumizi na Urejeshaji wa Ardhi, Miza Suleiman Khamis, Amesema hayo leo Jumapili, Januari 26, 2025,…

Read More

Masaka aanza mazoezi baada ya kuwa nje kwa majeraha

MSHAMBULIAJI  wa Kimataifa wa Tanzania, Aisha Masaka anayekipiga katika timu ya Brighton & Hove Albion ya Ligi Kuu ya Wanawake ya England, ameanza rasmi mazoezi ya uwanjani baada ya kuwa nje kwa takribani miezi mitatu. Masaka alipata jeraha la bega kwenye mchezo wa Ligi Kuu England (W) dhidi ya Arsenal Novemba 9 mwaka jana chama…

Read More

Mtanzania aitaka rekodi Misri | Mwanaspoti

BAADA ya kusaini mkataba wa miezi sita wenye kipengele cha kuongeza, mshambuliaji wa Kitanzania, Oscar Evalisto amesema anatamani kuandika historia ya kufunga mabao akiwa na Makadi FC ya Misri. Evalisto alisajiliwa hivi karibuni na timu hiyo inayoshiriki Ligi Daraja la Pili nchini Misri akitokea Mlandege FC ya Zanzibar. Mshambuliaji huyo alikuwa kwenye kikosi cha Mlandege…

Read More

Watanzania wakiri ugumu wa Ligi Uturuki

WATANZANIA wawili wanaokipiga katika Ligi ya Walemavu nchini Uturuki wamesema msimu huu umekuwa mgumu kwenye timu zao. Wachezaji hao ni Hebron Shadrack wa Sisli Yeditepe na Ramadhan Chomelo anayekipiga Konya Amputee wakiitumikia ligi hiyo kwa msimu wa tatu sasa. Akizungumza na Mwanaspoti, Chomelo alisema ligi nchini humo imekuwa ngumu kutokana na ushindani unaoonyeshwa na baadhi…

Read More

Trump afikiria kubadili msimamo kujitoa WHO

Zikiwa zimepita siku sita tangu Rais Donald Trump atie saini amri ya kiutendaji inayoelekeza Marekani kujitoa kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO), ametangaza kufikiria kubadili uamuzi wake huo. Hatua hiyo imekuja baada ya WHO kutangaza kufanya mazungumzo na Marekani na kumuomba kiongozi huyo kufikiria upya. Mbali na WHO, Ujerumani, mfadhili wa pili kwa ukubwa wa…

Read More

Jaruph autamani msimu ujao Morocco

MSHAMBULIAJI wa Ain Diab ya Morocco, Jaruph Juma amesema msimu uliopita haukuwa bora kwa upande wake akitaja uchovu na kutofanya mazoezi vilimkwamisha kuanza vizuri. Ain inashiriki Ligi Kuu ya Soka la Ufukweni nchini Morocco ambapo Mtanzania huyo alijiunga nayo wakati ligi inaenda mwishoni. Licha ya kutoanza vizuri lakini kwenye michezo 10 aliyocheza Jaruph amefunga mabao…

Read More

Jaruph autamani msimu ujao | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Ain Diab ya Morocco, Jaruph Juma amesema msimu uliopita haukuwa bora kwa upande wake akitaja uchovu na kutofanya mazoezi vilimkwamisha kuanza vizuri. Ain inashiriki Ligi Kuu ya Soka la Ufukweni nchini Morocco ambapo Mtanzania huyo alijiunga nayo wakati ligi inaenda mwishoni. Licha ya kutoanza vizuri lakini kwenye michezo 10 aliyocheza Jaruph amefunga mabao…

Read More

Mahakama za mwanzo Geita kuendeshwa kidijitali

Geita. Ili kupunguza gharama za uendeshaji na kutunza kumbukumbu Mahakama zote za mwanzo mkoani Geita zinatarajia kuanza rasmi kutumia mfumo wa Tehama) ifikapo Machi mwaka huu. Hayo yamesemwa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Geita,  Kelvin Mhina wakati wa ufunguzi wa wiki ya Sheria iliyofanyika katika viwanja vya EPZ Mjini Geita. Amesema kufanya kazi kidijitali…

Read More

Msemaji Mlandizi ala shavu Zambia

ALIYEWAHI kuwa Ofisa Habari wa Mlandizi Queens, Sajda Sadick amesaini mkataba wa mwaka mmoja na Trident Queens inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini Zambia. Alisajiliwa kwenye timu hiyo akitokea Mlandizi ambako alihudumu kama msemaji wa timu na hajawahi kucheza timu za Ligi Kuu Tanzania zaidi ya Kinondoni Queens ligi ya mkoa akiwa kama mshambuliaji. Akizungumza…

Read More