Masaka aanza mazoezi baada ya kuwa nje kw majeraha

MSHAMBULIAJI  wa Kimataifa wa Tanzania, Aisha Masaka anayekipiga katika timu ya Brighton & Hove Albion ya Ligi Kuu ya Wanawake ya England, ameanza rasmi mazoezi ya uwanjani baada ya kuwa nje kwa takribani miezi mitatu. Masaka alipata jeraha la bega kwenye mchezo wa Ligi Kuu England (W) dhidi ya Arsenal Novemba 9 mwaka jana chama…

Read More

Sababu ugonjwa wa ukoma kupungua nchini

Dar es Salaam. Takwimu za wagonjwa wapya wa ukoma hapa nchini Tanzania zinaonyesha ugonjwa huo kupungua kwa kasi ukilinganisha na miaka ya nyuma.  Kwa mujibu wa Wizara ya Afya kiwango cha  wagonjwa wapya kimepungua kutoka wagonjwa 2,297 mwaka 2015 hadi wagonjwa 1,263 mwaka 2024 sawa na punguzo la asilimia 45. Idadi hiyo ni punguzo kutoka…

Read More

SIMIYU WAUNGA MKONO AZIMIO LA CCM, RC ASEMA WANAOTAKA URAIS NDANI YA CHAMA JAMBO LIMEKWISHA

Na Mwandishi Wetu,Simiyu MKUU wa Mkoa wa Simiyu Kenani Kihongosi ameshiriki katika matembezi ya kuunga mkono azimio la Chama cha Mapinduzi (CCM) ambalo limemteua Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae mwaka huu. Akizungumza mara baada ya matembezi hayo yaliyofanyika Mjini Bariadi Kihongosi amesema wao…

Read More

Kumekucha Afcon 2025, Stars yawekwa chungu hiki

TIMU ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, itajua wapinzani wake itakaokutana nao wakati droo ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), itakapofanyika kesho kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mohammed V uliopo Rabat jijini Morocco. Stars ni kati ya timu 24 zitakazoshiriki michuano hiyo itakayoanza kutimua vumbi Morocco kuanzia Desemba 21, mwaka huu hadi…

Read More

JK AIPA PPAA CHANGAMOTO KUOKOA FEDHA ZA SERIKALI KATIKA MIRADI

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete ameipa Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) changamoto ya kuangalia jinsi ununuzi wa umma unavyoweza kuokoa fedha za umma na kuhakikisha kuwa Serekali inapata thamani ya fedha katika miradi yake inayoitekeleza. Mheshimiwa Kikwete ametoa changamoto hiyo wakati alipotembelea banda la PPAA katika maonesho…

Read More

Mahinyila: Haikuwa sawa kuwapambanisha Mbowe, Lissu wakati huu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), Deogratius Mahinyila amesema japo chama hicho kimepita salama kwenye uchaguzi wa ndani, lakini haikuwa sawa kuwashindanisha aliyekuwa mwenyekiti Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa sasa, Tundu Lissu. Amesema mvutano huo ulikiweka chama majaribuni hasa wakati huu ambao nchi inaelekea kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu….

Read More

Mmiliki Alliance afariki dunia, kuzikwa Februari 2

MMILIKI wa timu za Alliance FC na Alliance Girls za Mwanza, James Bwire amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumapili (Januari 26, 2025) wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando. Bwire ambaye ni mdau mkubwa wa michezo nchini akiwa ni Mkurugenzi wa Kituo cha Kukuza na Kulea vipaji cha Alliance aliwahi pia…

Read More