ILALA TUPO TAYARI KUPOKEA UGENI “ DC MPOGOLO

    Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mheshimiwa Edward Mpogolo, amesema Wilaya ya Ilala imejipanga kikamilifu kupokea ugeni mkubwa wa marais na viongozi wa nchi za Afrika wanaotarajiwa kuwasili nchini kwa ajili ya mkutano  utakaofanyika tarehe 27 na 28 Januari mwaka huu. Ameyasema hayo leo, tarehe 25 Januari 2025, wakati wa zoezi…

Read More

BARABARA ZA BRT KURAHISISHA USAFIRI WA MISAFARA YA VIONGOZI WA MKUTANO WA NISHATI AFRIKA

  Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, leo Jumamosi, Januari 25, 2024, amekagua miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) Awamu ya Tatu, ambayo inayoanzia katikati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Gongolamboto kupitia Barabara ya Nyerere. Barabara hiyo imepewa kipaumbele maalum kwa maandalizi ya kuwakaribisha viongozi wa nchi mbalimbali watakaoshiriki Mkutano wa Nishati wa…

Read More

Wasomi watakiwa kutafiti usafirishaji haramu wa binadamu

Dar es Salaam. Wanafunzi wa vyuo vikuu wametakiwa kufanya utafiti na kuandika maandiko ya kisomi, kuhusu usafirishaji haramu wa binadamu ili kuibua na kupaza sauti dhidi ya ukatili huo. Mkurugenzi wa Program wa Mtandao wa Kitaifa wa Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Jones John amesema hayo leo Januari 25, 2025 wakati alipokuwa wakitoa elimu …

Read More

Wanafunzi 200,000 waliotakiwa kumaliza kidato cha nne mwaka jana wapo wapi?

Dar es Salaam. Januari 23, 2025, Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne ya watahiniwa waliofanya mtihani 2024. Necta ilisema jumla ya watahiniwa 557,706 walisajiliwa kufanya mtihani huo.  Hata hivyo uchunguzi wa Mwananchi umebaini mwaka 2021 wanafunzi hao walijiunga kidato cha kwanza wakiwa 759,706.  Taarifa iliyotolewa na Tamisemi  ilionyesha,…

Read More