
MSAADA WA TAASISI YA NVeP WAENDELEA KUNUFAISHA TAASISI ZA KIJAMII NCHINI
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa (katikati) akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi Milioni 25 kwa mwakilishi wa shirika la Youth Wellbeing Initiative (kushoto). Fedha hizo zimetolewa na Taasisi ya kimataifa ya Nos Vies en Partage (NVeP) kwa kushirikiana na kampuni ya Barrick ** Taasisi ya kimataifa ya Nos Vies en Partage (NVeP), kwa…