Mkongomani azitaka tatu za Simba

WAKATI Tabora United ikijifua kwa mchezo wa kiporo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, kocha Anicet Kiazayidi amesema hana presha huku akisifu kiwango cha wapinzani wao. Timu hizo zitakutana kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora utakaopigwa Februari 2 kwani katika mechi ya kwanza zilipokutana Uwanja wa KMC Complex, Simba ilishinda mabao 3-0,…

Read More

Hamas yawaachia huru wanajeshi wanne wa Israel, Wapalestina 200 pia kuachiwa

Gaza. Israel imethibitisha kuwapokea wanajeshi wake wanne waliokuwa wakishikiliwa mateka na kundi la Hamas eneo la Gaza kwa zaidi ya mwaka mmoja. Katika makubaliano hayo, raia 200 wa Palestina waliofungwa kwenye magereza mbalimbali nchini Israel pia wameachiwa huru kutoka katika magereza hayo. Wafungwa hao wameachiwa kufuatia makubaliano ya kusitishwa mapigano hayo kutamka kuwa Israel itawaachia…

Read More

Serikali yaeleza sababu za kukatika umeme

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na malalamiko ya kukatika mara kwa mara kwa umeme, Serikali imesema kwa sasa nchi inazalisha umeme kuliko uwezo wa mahitaji ya nishati hiyo,  baada ya kukamilika kwa ujenzi wa  bwawa la kufua umeme la Mwalimu. Nyerere. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Januari 25, 2025 na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa,…

Read More

Mwambusi ana deni Coastal Union

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mwambusi amesema kazi imebaki kwake na wachezaji kuhakikisha kupambana ili kufikia malengo ya kucheza tena Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya uongozi kufanyia kazi usajili dirisha dogo. Coastal Union ambayo ipo nafasi ya 11 baada ya kukusanya pointi 18 kwenye mechi 16 ilizocheza imeongeza wachezaji tisa dirisha dogo…

Read More

Goodluck Gozbert Kuchoma Gari Mchungaji Mashimo Afichua Siri Nzito – Video – Global Publishers

Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, Goodluck Gozbert Video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, Goodluck Gozbert akiwa anachoma gari aina ya Mercedes Benz linalodaiwa kuwa ni lile alilopewa zawadi na mchungaji mmoja maarufu nchini. Kwenye video hiyo, Gozbert anasikika mwenyewe akieleza kwamba ameamua kulichoma gari…

Read More

Chilunda aja na akili mpya ya kazi

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, Shaaban Chilunda amesema baada ya kufanikiwa kusajiliwa na KMC kwa sasa ana akili mpya ya kufanya kazi ili kurudi katika ushindani baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu huku akisisitiza kwamba yupo tayari kwa ajili mapambano. Chilunda aliwahi kuichezea timu hiyo kwa mkopo Januari, mwaka jana akitokea Simba…

Read More

‘Wadau washirikishwe changamoto kukatika umeme’

Dar es Salaam. Ushirikishwaji wa wadau wa nishati safi kuzalisha umeme umetajwa kuwa suluhisho la kukatika umeme mara kwa mara, linalokwaza uzalishaji viwandani na kwa wajasiriamali. Miongoni mwa rasilimali za uzalishaji wa nishati zilizopo nchini ni gesi asilia, ambapo Tanzania ina futi za ujazo 57.54 na kati ya hizo, futi za ujazo trilioni 47.4 zimegunduliwa…

Read More

Watuhumiwa wizi wa majafafa Tabora wafikia 20

Tabora. Idadi ya watu waliokamatwa kwa kosa la wizi wa magunia ya kubebea tumbaku (majafafa) yenye thamani ya Sh1.4 bilioni imeongezeka kutoka watu 15 hadi kufikia watu 20. Desemba 2024, Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe alitoa taarifa ya kukamatwa kwa watu 15 wakituhumiwa kwa wizi wa magunia hayo ambapo alitoa maelekezo kwa vyombo vya ulinzi…

Read More