Watanzania nchini wametakiwa kujenga tabia ya kuwasaidia watu wenye uhitaji maalum ikiwemo Watoto yatima Wazee Pamoja na watu wenye ulemavu ili waweze kuwa na furaha
Month: January 2025

Dar es Salaam. Januari 26-28, 2025 baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam yalikuwa kwenye mwonekano tofauti na ule uliozoeleka kwa muda mrefu.

Goma. Kiongozi wa Kundi la M23, Corneille Nangaa amesema baada ya kuukamata mji wa Goma, wataendelea na mapigano hadi mji mkuu wa nchi hiyo, Kinshasa.

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) amewasilisha kusudio la kukata rufaa kupinga uamuzi uliyotolewa jana na Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es

Dar es Salaam. Viungo vya mwili wa mtu asiyejulikana vimetolewa kutoka kwenye shimo la maji taka lililopo nyumba moja iliyopo kati ya mitaa ya St.

Dodoma. Mpango wa utekelezaji wa azimio la kuwa na sarafu moja ifikapo 2024 katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, umesogezwa mbele kwa miaka saba mingine na

Dar es Salaam. Kiongozi wa kundi la Kiislamu la Hayat Tahrir al-Sham (HTS), Ahmed al-Sharaa ameteuliwa kuwa Rais wa mpito ya Syria, ikiwa ni takriban

KATIKA kujenga kikosi bora cha ushindani, uongozi wa Coastal Union umetangaza nafasi za kazi tano. Muombaji anatakiwa kufikisha maombi yake Ofisi ya

Dar es Salaam. Rais wa Marekani, Donald Trump amesema mgogoro kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) “ni tatizo kubwa sana.” Trump

KIUNGO mshambuliaji wa Kagera Sugar, Peter Lwasa amesema anatamani mzunguko wa pili wa Ligi Kuu afunge mabao matano na kufikisha 10 msimu huu. Nyota huyo