
WATANZANIA WATAKIWA KUJENGA TABIA YA KUWASAIDIA WENYE UHITAJI MAALUM
Watanzania nchini wametakiwa kujenga tabia ya kuwasaidia watu wenye uhitaji maalum ikiwemo Watoto yatima Wazee Pamoja na watu wenye ulemavu ili waweze kuwa na furaha katika Maisha yao. Wito huo umetolewa leo na Sheikh Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Salumu Kidebe kwenye hafla fupi ya kumpongeza Dkt.Said Lugumi kwa sala na Dua maalumu ikiwa ni…