
Meridianbet Yaipatia Magomeni Makuti Tabasamu – Global Publishers
Je unajua kuwa siku ya leo wakazi wa Magomeni Makuti wametabasamu baada ya kufikiwa na Kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania?. Nayo si nyingine bali ni Meridianbet ambao waliona kuwa kuna haja ya kufanya hivyo. Kila siku baadhi wa watu wamekuwa wakikabiliwa na upungufu wa vyakula kwaajili ya kujikimu ambapo wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet waliona…