BARRICK NORTH MARA YALIPA BILIONI 3.7/ ZA USHURU WA HUDUMA TARIME VIJIJINI, BILIONI 1.7/- ZA MRABAHA KWA VIJIJI VITANO

Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Dkt. Mark Bristow akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi bilioni 3.7 kwa viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime katika ukumbi wa mikutano wa Mgodi wa Dhahabu wa North MaraRais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Dkt. Mark Bristow (katikati waliokaa), Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (wa…

Read More

Mtihani mgumu wa Lissu Chadema

Dar es Salaam. Uongozi mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwenyekiti Tundu Lissu unakabiliwa na mtihani mzito wa kuwaunganisha wanachama wake wanaoendeleza minyukano ya chini kwa chini. Lissu aliingia madarakani Januari 22, 2025 baada ya kumshinda Freeman Mbowe kwenye boksi la kura ambaye amekiongoza chama hicho kwa miaka 21 na kukiwezesha…

Read More

Ofisi ya Haki za UN inaongeza kengele juu ya kuongezeka kwa vurugu katika Benki ya Magharibi – Maswala ya Ulimwenguni

Ohchr Msemaji wa Thameen Al-Kheetan imeongezwa Kwamba operesheni ya kijeshi ya Israeli ndani na karibu na kambi ya wakimbizi ya Jenin ilihusisha utumiaji wa nguvu “isiyo na kipimo”, pamoja na viwanja vya ndege na risasi ambazo ziliripotiwa kulenga wakazi wasio na silaha. “Operesheni mbaya za Israeli katika siku za hivi karibuni Ongeza wasiwasi mkubwa juu…

Read More

Azam FC ubingwa inautaka Bara

KOCHA wa Azam, Rachid Taoussi amesema licha ya kudondosha pointi nyingi duru la kwanza ana nafasi ya kuipambania timu hiyo kutwaa taji msimu huu, huku akidai wazi kuwa ana pointi sita kwa  Simba na Yanga. Azam ipo nafasi ya tatu katika msimamo baada ya kukusanya pointi 36 ikiwa mbele mchezo mmoja dhidi ya Simba (40)…

Read More

Kocha Matano ashtukia jambo Bara

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate, Robert Matano amesema ana mtihani mkubwa wa kufanya kuikabili Simba kwenye mchezo wake wa kwanza akidai ni kipimo sahihi kwake. Fountain Gate itakuwa wenyeji kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Februari 6, mwaka huu ukiwa ni mchezo 17 baada ya kucheza 16 wakikusanya pointi 20 na kushika nafasi ya sita. Akizungumza…

Read More