Rais Samia atengua watatu, yumo DC wa Arusha Mjini

Dar/Arusha. Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa watendaji watatu katika halmashauri za wilaya tatu, akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mtahengera. Wengine waliotenguliwa ni aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Meatu, Athuman Masasi na nafasi yake imechukuliwa na Zahara Michuzi aliyetokea Halmashauri ya Mji wa Ifakara. Stephano Kaliwa aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa…

Read More

Muhimbili yapatiwa vifaatiba vya kisasa kurahisisha upasuaji

Dar es Salaam. Wagonjwa watakaofanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, watanufaika na maboresho ya huduma hiyo baada ya Ubalozi wa China, kuipatia hospitali hiyo vifaatiba vya teknolojia ya kisasa, vinavyorahisisha huduma ya upasuaji vyenye thamani ya Sh125 milioni. Upatikanaji wa vifaa hivyo, unaifanya hospitali ya Muhimbili kuingia katika dunia ya uvumbuzi na teknolojia ambayo…

Read More

Mambo manne kuboresha huduma Tanesco Kilimanjaro

Moshi. Shirika la Tmeme Tanzania (Tanesco) Mkoa wa Kilimanjaro limekuja na mikakati minne itakayochochea upatikanaji wa huduma bora na kuondoa mitazamo hasi iliyojengeka kwa wananchi juu ya shirika hilo. Mikakati hiyo ni pamoja na kubadilisha nguzo za umeme zilizooza na kuweka nyingine za zege, ili kuondoa changamoto ya ukatikaji wa umeme mara kwa mara, hasa…

Read More

Kobe 116 wa Tanzania waliokamatwa Thailand warudishwa

Dar es Salaam. Zaidi ya watoto mia moja wa kobe, wengi wao wakiwa wamekufa, wamerudishwa Tanzania kutoka Thailand, kama ushahidi katika kesi dhidi ya mtandao wa magendo ya wanyamapori. Hayo yamebainishwa na Shirika la Polisi wa Kimataifa (Interpol) katika taarifa yake iliyotoka leo Ijumaa Januari 24, 2025 nchini Thailand. Kobe hao 116 waligunduliwa wakiwa wamefichwa…

Read More

Raia wa Ukraine adaiwa kujinyonga chumbani kwake Musoma

Musoma. Raia wa Ukraine, Ihor Hladkyi (48) amekutwa amefariki dunia baada ya kudaiwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya manila kwa sababu ambazo hazijajulikana. Mtu huyo ambaye alikuwa anafanya kazi katika mgodi wa dhahabu unaomilikiwa na kampuni ya Polygold, uliopo katika eneo la Kigera Etuma wilayani Musoma, anadaiwa kujinyonga Januari 23, 2025, saa 2 asubuhi. Akizungumza…

Read More

Jeshi la Polisi Arusha lapewa pikipiki nyingine 20

Arusha. Kampuni ya Utalii ya Leopard Tours imetoa pikipiki 20 kwa Jeshi la Polisi ili kuimarisha usalama na kukuza sekta ya utalii mkoani Arusha. Pikipiki hizo zimekabidhiwa leo Ijumaa Januari 24, 2025 kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ambaye amewashukuru wadau hao kwa kuendelea kulisaidia jeshi hilo. Hii ni awamu ya pili kwa…

Read More

TANDIKA JAMVI LAKO LA USHINDI HAPA

IJUMAA ya leo ni siku nzuri ya kupiga pesa ndani ya Meridianbet ambapo nafasi ya wewe kuibuka bingwa unayo. Ligi mbalimbali zitaendelea hivyo suka jamvi lako na uobuke bingwa leo. Ligi kuu ya Ujerumani BUNDESLIGA kutakuwa na mtanange mzito kati ya Wolfsburg dhidi ya Holstein Kiel ambao mechi yao iliyopita walipigika vibaya nyumbani, huku kwa…

Read More

Nne za Pamba Jiji zampa ujanja Minziro

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema mechi nne za kirafiki zitamsaidia kutengeneza muunganiko wa kikosi kati ya maingizo mapya na ya zamani na kuwa tayari kwa ushindani kuisaidia timu hiyo kufanya vizuri na kubaki Ligi Kuu. Pamba iliyosajili wachezaji tisa dirisha dogo lililofungwa Januari 15, mwaka huu wakiwemo sita wa kigeni, imepanga…

Read More

Mgunda mzuka mwingi DR Congo

MSHAMBULIAJI Ismail Mgunda amesema kitendo cha Mashujaa kukubali kumuachia kwenda kutafuta changamoto mpya kinamsaidia kuendelea kumjenga na kukuza kiwango na kipaji chake. Japo Mgunda hakutaja moja kwa moja anakwenda kujiunga na AS Vita ya DR Congo kama ulivyoeleza uongozi wa Mashujaa kupitia Ofisa Habari Hamis Mwalyango kumalizana na klabu hiyo na mchezaji, lakini mshambuliaji huyo…

Read More