Dabo afichua siri za mastaa kutoka Bongo

KOCHA wa zamani Azam FC, Youssouf Dabo ameeleza sababu za kuwavuta mastaa wa Bongo kwenda katika klabu anayoinoa kwa sasa ya AS Vita ya DR Congo. Dabo ambaye alitimka Azam mwanzoni mwa msimu huu na katika dirisha hili dogo akiwa katika kikosi hicho amechukua baadhi ya wachezaji wazawa na kuwavuta katika kikosi hicho. AS Vita…

Read More

Ushindi wa Lissu wawaweka maofisa Chadema matumbo joto

Dar es Salaam. Ushindi wa Tundu Lissu katika nafasi ya uenyekiti wa Chadema unatazamwa kufufua upya kishindo cha siasa za upinzani, huku ukiwaweka matumbo joto baadhi ya makada na maofisa katika kurugenzi za chama hicho. Lissu alichaguliwa mwenyekiti wa Chadema Januari 21, mwaka huu akipata kura 513 dhidi ya mwenyekiti wa muda mrefu, Freeman Mbowe…

Read More

Dk Slaa anavyosota mahabusu | Mwananchi

Dar es Salaam. Hatima ya mvutano kuhusu uhalali wa kesi ya jinai inayomkabili mwanasiasa mkongwe, Dk Wilbroad Slaa itajulikana Jumatatu, Januari 28,2025, Mahakama Kuu itakapotoa uamuzi wa maombi ya mapitio alilolifungua mahakamani hapo. Mahakama hiyo imepanga kutoa uamuzi huo Jumatatu baada ya kukamilisha usikilizwaji wa shauri hilo leo Ijumaa, Januari 24, 2025, mbele ya Jaji…

Read More

Miti huongeza thamani ya jengo kwa asilimia 30

Dar es Salaam. Imeelezwa kwamba kuna faida nyingi za kupanda miti mbali na uhifadhi wa mazingira na kuwa hatua hiyo huongeza pia thamani ya jengo kwa asilimia 30. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Januari 24, 2025 na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo (Taaluma, Tafiti na Ushauri) wa Chuo Kikuu Ardhi, Profesa John Lupala, katika shughuli ya…

Read More

Kobe 116 wa Tanzania waliokamtwa Thailand warudishwa

Dar es Salaam. Zaidi ya watoto mia moja wa kobe, wengi wao wakiwa wamekufa, wamerudishwa Tanzania kutoka Thailand, kama ushahidi katika kesi dhidi ya mtandao wa magendo ya wanyamapori. Hayo yamebainishwa na Shirika la Polisi wa Kimataifa (Interpol) katika taarifa yake iliyotoka leo Ijumaa Januari 24, 2025 nchini Thailand. Kobe hao 116 waligunduliwa wakiwa wamefichwa…

Read More

Alichokisema Lissu kuhusu Mdee wenzake 18

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amesema bado hajamalizana na wabunge 19 waliovuliwa uanachama na chama hicho, akisisitiza kuwa suala la kurejeshwa kwao ndani ya chama ni jambo linalohitaji uamuzi wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chadema. Kamati Kuu ya Chadema iliwavua nyadhifa na uanachama wabunge hao ambao ni Halima Mdee…

Read More

Mambo yanayomsubiri Lissu Chadema | Mwananchi

Dar es Salaam. Siku tatu tangu Tundu Lissu kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wadau wa siasa wametaja mambo manne anayopaswa kuyasimamia kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, ikiwemo upatikanaji wa Tume huru ya uchaguzi kabla ya kariba ambayo upatikanaji wake ni mlolongo mrefu. Suala lingine wanaloshauri ni kuwaunganisha wanachama, kuvutia…

Read More