Uamuzi wa Trump maumivu zaidi kwa Watanzania

Dar es Salaam. Uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kuzuia misaada ya maendeleo kwa siku 90, umeanza kuleta maumivu katika maeneo kadhaa, hususan ajira na utekelezaji wa miradi kama elimu na kilimo nchini. Mbali na hiyo Trump pia ameeleza nia yake ya kuitoa Marekani kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO), hatua hii itaathiri…

Read More

ULIPAJI FIDIA MRADI WA MAGADI SODA WAZINDULIWA RASMI

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt, Selemani Jafo,akizungumza na wananchi wakati wa zoezi la uzinduzi wa ulipaji fidia kwa wananchi wa eneo la Kata ya Engaruka Wilayani Monduli ili kupisha Mradi wa Magadi Soda. Na.Mwandishi Wetu SERIKALI imeagiza kuwa zoezi la ulipaji fidia ya sh, bilioni 6.2 kati ya sh, bilioni 14.48 kwa Wananchi 595…

Read More

Ongezeko waathirika shinikizo la damu lisilotibiwa Tanzania

Dar/mikoani. Hospitali za mikoa na kanda nchini zimekiri kupokea mgonjwa mmoja mpaka wawili kila siku waliopata madhara ya shinikizo la juu la damu, baada ya kuishi na ugonjwa huo kwa muda mrefu bila wao kujua au kusitisha matibabu. Madhara yaliyotajwa kuwapata ghafla, ni pamoja na kiharusi (kupooza/‘stroke’), mshtuko au shambulizi la moyo, moyo kushindwa kufanya…

Read More

Viunzi viwili vibonde Ligi Kuu Bara

Makocha wa timu nne zinazoshika mkia kwenye msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara wana wiki mbili za kujiandaa kujibu mitihani miwili migumu ambayo inaweza kuzifanya mbili zishuke daraja moja kwa moja mwishoni mwa msimu. Vizingiti hivyo viwili ni ubutu wa safu za ushambuliaji na pia kushindwa kuzimudu mechi za ugenini. Udhaifu katika kufunga mabao na…

Read More

TANZANIA NCHI YA MFANO USAWA WA KIJINSIA

Na Pamela Mollel,Arusha  Tanzania imeendelea kuwa nchi ya mfano katika kukuza usawa wa kijinsia, hasa kwa hatua zake za kihistoria za kuwa na Rais mwanamke wa kwanza, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Aidha, uwakilishi wa wanawake bungeni umefikia asilimia 37, hatua inayoashiria maendeleo makubwa katika kuhakikisha wanawake wanashiriki kikamilifu kwenye uongozi na maamuzi ya kitaifa. Hayo…

Read More

Aliyetakiwa Yanga atua Kaizer Chiefs

UNAMKUMBUKA yule straika mwili jumba, Makabi Lilepo aliyekuwa akiwindwa na Yanga tangu msimu uliopita ili kuja kuziba nafasi ya Fiston Mayele? Unaambiwa jamaa huyo aliyekuwa enzi hizo Al Hilal ya Sudan ametua Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini akitokea Valenciennes ya Ufaransa. Lilepo alikuwa akitakiwa na Yanga iliyokuwa chini ya Kocha Nasreddine Nabi ambaye kwa sasa…

Read More

Mikakati ushindi Yanga hii hapa

Katika kuhakikisha inafanya vizuri kwenye mashindano ya ndani baada ya kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga imepanga kufanya mambo mawili ikiamini yatakuwa na tija kwa mechi ilizobakiza msimu huu. Jambo la kwanza ambalo imeamua kulifanya ni kufanya maboresho ya kamati yake ya mashindano ambapo kuna baadhi ya watu itawapunguzwa na wengine kuongezwa ili kuipa…

Read More