Athari za rangi za kucha kwa wajawazito

Dar es Salaam. Ujauzito ni kipindi cha kipekee cha mabadiliko makubwa katika mwili wa mwanamke, kipindi hiki usalama wa mama na mtoto unapaswa kuzingatiwa kwa umakini zaidi ili kulinda afya za wawili hao. Wakati wanawake wengi hujizatiti kuangalia lishe bora kipindi hiki cha ujauzito na namna ya kujipunguzia majukumu ili kupata muda wa kupumzika, masuala…

Read More

Athari za gharama kubwa za insulin

Insulin ni dawa muhimu kwa watu wanaoishi na ugonjwa wa kisukari, hasa aina ya kwanza ya kisukari. Kwa mamilioni ya watu duniani kote, insulin ni zaidi ya dawa, ni msaada wa maisha unaowezesha udhibiti wa viwango vya sukari mwilini. Hata hivyo, gharama kubwa za insulin zimekuwa changamoto kubwa, hasa kwa wagonjwa wenye kipato cha chini…

Read More

MSIGWA AAGIZA NYARAKA MUHIMU ZA UANZISHWAJI WA BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WA HABARI ZIKAMILISHWE HARAKA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa, akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Wakili Patrick Kipangula, alipozitembelea ofisi za Bodi hiyo leo tarehe 23 Januari, 2025, Mtaa wa Jamhuri Posta, Jijini Dar es Salaam.Bw. Msigwa amefanya ziara hiyo…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Karibu sana kocha Heric wa KenGold

NAKUKARIBISHA kwa moyo mkunjufu kocha wa mpira Vladislav Heric ambaye umepata shavu hapo KenGold FC ambayo inashiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Kocha, jambo la kwanza na la msingi nakuomba uangalie msimamo wa ligi na uione timu yako mpya ilipo. Ipo mkiani kabisa na ina pointi sita tu ilizopata kwenye mechi 16. Hadi jamaa wameamua kukufuata…

Read More

Kocha Bares macho yote yapo hapa

SIKU chache baada ya ratiba ya ligi kufanyiwa marekebisho, kocha wa Mashujaa, Abdallah Mohamed ‘Bares’ amesema tayari ameanza kukiweka sawa kikosi chake huku akizitaja timu tatu za Azam FC, Yanga na Singida Black Stars kuwa lazima awe nazo makini kutokana na kukutana nazo mapema zikiwa ndiyo washindani wakubwa nafasi tano za juu. Mashujaa ipo nafasi…

Read More

Mambo manne yalivyoibeba Ligi Kuu Bara

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imesema kupanda kwa viwango vya ubora wa Ligi Kuu Bara kumetokana na mambo makuu manne. Kwa mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS), Ligi Kuu Bara imekuwa ya nne kwa ubora barani Afrika na ya 57 duniani kwa mwaka 2024 ikikusanya pointi…

Read More

Cecafa yamuunga mkono Rais wa TFF kuwania ubosi CAF

Baraza la vyama vya mpira wa miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) limetangaza kuwa rais wake Wallace Karia ndio atakuwa mgombea pekee wa nafasi ya ujumbe wa kamati ya utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) katika uchaguzi mkuu wake utakaofanyika Machi Mwaka huu. Hiyo ni kufuatia kujiondoa kwa rais wa Shirikisho la…

Read More

ICC inatafuta vibali vya kukamatwa kwa viongozi wa Taliban juu ya mateso ya msingi wa kijinsia-maswala ya ulimwengu

Alhamisi, Mwendesha Mashtaka wa ICC Karim Khan aliomba vibali vya kukamatwa kwa maafisa wawili waandamizi wa Taliban: Kiongozi Mkuu Haibatullah Akhundzada na Jaji Mkuu wa Mahakama Kuu Abdul Hakim Haqqani. Wanashutumiwa kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu kwa misingi ya mateso ya msingi wa kijinsia chini ya Amri ya Roma ya Korti, ambayo inaweka jukumu la…

Read More