Mapambano ya Tanga kufufua viwanda vyake – 2

Tanga. Serikali ya Mkoa wa Tanga imeanza kuchukua hatua kuangalia namna ya kuvifufua viwanda vikubwa vitatu vya Mbolea, Mbao na Chuma hatua ambayo inaweza kurejesha matumaini ya wananchi kwa kuongeza kipato, ajira na uchumi wa mkoa kuimarika. Tayari mazungumzo yameanza kati ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga na mwekezaji wa kiwanda cha Chuma…

Read More

Matokeo kidato cha nne ni vicheko na huzuni

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), limetangaza matokeo ya mithani wa Taifa wa kidato cha nne mwaka 2024, yakiwa na sura ya furaha na vilio. Ni furaha kwa watahiniwa 477,262  kati ya 516,695 waliopata daraja la kwanza hadi la nne sawa na asilimia 92, 37. Ufaulu huu ni sawa na ongezeko la asilimia…

Read More

Maagizo ya Rais Samia TRA, wakwepa kodi moto waja

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka watendaji na watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufanya kazi kwa uadilifu na kuepuka mazingira ya kuchochea rushwa na ukwepaji kodi. Amesema mtumishi yeyote anayejihusisha na vitendo hivyo visivyofaa kwa maendeleo ya nchi hana budi kufuatiliwa na kushughulikiwa. Ameagiza uongozi wa mamlaka hiyo kufuatilia mienendo hiyo…

Read More

Yanga yaficha wawili wapya | Mwanaspoti

KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofungwa Januari 15 mwaka huu, Yanga ilitambulisha wachezaji wawili pekee ambao ni beki Israel Mwenda kutoka Singida Black Stars na Jonathan Ikangalombo anayemudu kuicheza winga zote mbili na mshambuliaji akitokea AS Vita ya DR Congo. Hata hivyo, taarifa kutoka ndani ya Yanga zinabainisha kuna majembe mengine mawili yamemalizana na klabu…

Read More

Sasisho za moja kwa moja za Januari 23; 'tunaweza kuokoa maisha zaidi' kama usitishaji vita wa Gaza utaendelea, anasema mkuu wa Umoja wa Mataifa wa misaada – Global Issues

© UNICEF/Mohammed Nateel Nguo zenye joto husambazwa kwa familia huko Khan Younis, Gaza. Alhamisi, Januari 23, 2025 Habari za Umoja wa Mataifa Baraza la Usalama lilikutana Alhamisi alasiri huko New York kujadili hatari za kutishia maisha zinazowakabili watoto wa Kipalestina – ambao maelfu yao wameuawa wakati wa vita huko Gaza. Mkuu wa Umoja wa Mataifa…

Read More

Kuongezeka kwa misaada ya Gaza, sasisho la El Fasher, msaada kwa Somalia, haki nchini Belarus – Masuala ya Ulimwenguni

Ofisi ya uratibu wa misaada OCHA ilisema Umoja wa Mataifa na washirika wetu wanatuma vifaa kwa makazi maalum ya dharura na vituo vya usambazaji katika Ukanda huu. “Tunasambaza vifurushi vya chakula na unga na tunafanya kazi ya kufungua tena mikate,” alisema Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa Farhan Haq. Zaidi ya vifurushi 50,000 vya chakula…

Read More

TRA: Tutakusanya kodi bila migogoro na walipaji

Dar es Salaam. Kamishna Mkuu wa Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema wataendelea kukusanya kodi kwa manufaa ya Taifa bila kuingia migogoro na walipakodi. Katika kufanikisha hilo amesema kama mamlaka wanaendelea kuimarisha mazingira ya ulipaji kodi kwa kujenga uhusiano na walipakodi nchini pamoja na kuboresha mazingira ya mfumo wa ulipaji kodi. Mwenda ameyasema…

Read More

Waziri Mkuu atoa maagizo kwa TMA uboreshaji vituo

Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) iweke kipaumbele cha kuboresha mtandao wa uangazi wa taarifa za hali ya hewa katika maeneo madogo madogo ambayo bado hayajafikiwa na Mradi wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani wa “Systematic Observation Financing Facility (SOFF) Agizo lingine alilolitoa kwa mamlaka hiyo ni pamoja…

Read More