92 wafa sababu ya kuharibika kwa mimba

Dodoma. Katika kipindi cha mwaka 2022 hadi 2024 jumla ya wanawake 92 walipoteza maisha kutokana na changamoto mbalimbali zilizosababishwa na kuharibika kwa mimba, Bunge limeelezwa leo Januari 31, 2025. Naibu Waziri wa Afya ametoa takwimu hizo alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Fatuma Toufiq aliyeuliza ni watoto wa kike wangapi na wanawake…

Read More

Mangalo ndo basi tena hadi msimu ujao!

BEKI wa zamani wa Biashara United na Singida Foutain Gate, Abdulmajid Mangalo amesema licha ya kuwa nje ya uwanja, lakini anatumia muda huu kuwafuatilia wachezaji kujifunza vitu kwa ajili kurejea msimu ujao. Mangalo aliyekuwa tegemeo katika kikosi cha Singida Fountain Gate kwa sasa yuko nje ya uwanja akiendelea kuuguza jeraha la goti na matarajio yake…

Read More

DRC katika hali tete na fukuto la M23 kuitaka Kinshasa

Wakati dunia ikielekea kuadhimisha Siku ya Wakimbizi Duniani Juni 20, mwaka huu, nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), maelfu ya wakimbizi nchini humo walikuwa wamekimbia makazi yao kutokana na mapigano yanayoendelea. Kwa mujibu wa ‘Voice of America’, kambi ya Minova ina wakimbizi zaidi ya 3,000 wanaohifadhiwa ambao wanaishi maisha magumu bila kupata misaada. Wakuu…

Read More

Sillah awataja Kibu, Pacome | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Gibril Sillah amesema Simba na Yanga zinacheza kwa viwango vya juu, lakini inapotokea wanataka kucheza nazo kuna majina yanayowatisha kiasi cha kukaa chini na kujipanga kukabiliana nayo ili kuiwezesha timu yao kuwa salama. Nyota huyo raia wa Gambia amesema wakikutana na Simba ni ngumu kukwepa kuwafikiria Kibu Denis na Fabrice Ngoma…

Read More

Mama wa mkurugenzi wa Alliance afariki siku ya kumuaga mwanaye

Mwanza. Nchagwa Manga, mama mzazi wa Mkurugenzi wa Kituo cha Michezo cha Alliance kilichopo jijini Mwanza, James Bwire aliyefariki Januari 25, 2025, naye amefariki leo Ijumaa Januari 31, siku ya kumuaga mwanaye. Akizungumza na Mwananchi leo Ijumaa Januari 31, 2025, Mwenyekiti wa Kituo cha Alliance, Stephano Nyaitati amethibitisha kifo cha Nangwa. Nyaitati amesema kikongwe huyo…

Read More

Kaizer yang’ang’ana na Fei Toto, yafikia hapa!

KAMA unadhani klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini imeamua kumpotezea kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Feisal Salum ‘Fei Toto’, baada ya ofa yao waliyoiwasilisha Azam FC, pole yako, kwani mabosi wa klabu hiyo wameamua kurudi kivingine Chamazi wa kudaiwa kuongeza mzigo. Kaizer inayonolewa na kocha wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi aliyewahi kumnoa…

Read More

Mama wa bosi Alliance afariki siku ya kumuaga mwanaye

Katika hali isiyo ya kawaida mama mzazi wa aliyekuwa mmiliki na mkurugenzi wa Kituo cha Michezo cha Alliance kilichopo jijini Mwanza, James Bwire, aliyefariki dunia Januari 25, 2025 naye amefariki. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Ijumaa, Januari 31,2025, Mwenyekiti wa Kituo cha Alliance, Stephano Nyaitati amethibitisha kifo cha mama mzazi wa Bwire aitwaye Nchagwa Manga….

Read More

Mama wa bosi Alliance afariki kabla ya kumuaga mwanaye

Katika hali isiyo ya kawaida mama mzazi wa aliyekuwa mmiliki na mkurugenzi wa Kituo cha Michezo cha Alliance kilichopo jijini Mwanza, James Bwire, aliyefariki dunia Januari 25, 2025 naye amefariki. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Ijumaa, Januari 31,2025, Mwenyekiti wa Kituo cha Alliance, Stephano Nyaitati amethibitisha kifo cha mama mzazi wa Bwire aitwaye Nchagwa Manga….

Read More