Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 6
Habari

92 wafa sababu ya kuharibika kwa mimba

January 31, 2025 Admin

Dodoma. Katika kipindi cha mwaka 2022 hadi 2024 jumla ya wanawake 92 walipoteza maisha kutokana na changamoto mbalimbali zilizosababishwa na kuharibika kwa mimba, Bunge limeelezwa

Read More
Michezo

Mangalo ndo basi tena hadi msimu ujao!

January 31, 2025 Admin

BEKI wa zamani wa Biashara United na Singida Foutain Gate, Abdulmajid Mangalo amesema licha ya kuwa nje ya uwanja, lakini anatumia muda huu kuwafuatilia wachezaji

Read More
Kimataifa

Je! Trump ni tishio kwa afya ya ulimwengu? – Maswala ya ulimwengu

January 31, 2025 Admin

Maoni na Jan Lundius (Stockholm, Uswidi) Ijumaa, Januari 31, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Stockholm, Uswidi, Jan 31 (IPS) – Katika siku yake ya

Read More
Kimataifa

DRC katika hali tete na fukuto la M23 kuitaka Kinshasa

January 31, 2025 Admin

Wakati dunia ikielekea kuadhimisha Siku ya Wakimbizi Duniani Juni 20, mwaka huu, nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), maelfu ya wakimbizi nchini humo walikuwa

Read More
Michezo

Sillah awataja Kibu, Pacome | Mwanaspoti

January 31, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Gibril Sillah amesema Simba na Yanga zinacheza kwa viwango vya juu, lakini inapotokea wanataka kucheza nazo kuna majina yanayowatisha kiasi cha

Read More
Habari

Serikali: Kuzuiliwa kwa maiti hospitali tatizo ni ndugu wa marehemu

January 31, 2025 Admin

Dodoma. Serikali imesema ndugu wa marehemu ndiyo chanzo cha baadhi ya miili ya wapendwa wao kubaki hospitalini kwa kisingizo cha kuzuiliwa, lakini si madaktari. Kauli

Read More
Michezo

Mama wa mkurugenzi wa Alliance afariki siku ya kumuaga mwanaye

January 31, 2025 Admin

Mwanza. Nchagwa Manga, mama mzazi wa Mkurugenzi wa Kituo cha Michezo cha Alliance kilichopo jijini Mwanza, James Bwire aliyefariki Januari 25, 2025, naye amefariki leo

Read More
Michezo

Kaizer yang’ang’ana na Fei Toto, yafikia hapa!

January 31, 2025 Admin

KAMA unadhani klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini imeamua kumpotezea kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Feisal Salum ‘Fei Toto’, baada ya ofa yao

Read More
Michezo

Mama wa bosi Alliance afariki siku ya kumuaga mwanaye

January 31, 2025 Admin

Katika hali isiyo ya kawaida mama mzazi wa aliyekuwa mmiliki na mkurugenzi wa Kituo cha Michezo cha Alliance kilichopo jijini Mwanza, James Bwire, aliyefariki dunia

Read More
Michezo

Mama wa bosi Alliance afariki kabla ya kumuaga mwanaye

January 31, 2025 Admin

Katika hali isiyo ya kawaida mama mzazi wa aliyekuwa mmiliki na mkurugenzi wa Kituo cha Michezo cha Alliance kilichopo jijini Mwanza, James Bwire, aliyefariki dunia

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 5 6 7 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.