Simbachawene atoa mwongozo Tasaf inavyofanya kazi

Singida. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, amesema moja ya majukumu makuu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) ni kuwawezesha wananchi kiuchumi, hususan wale wasiojiweza. Amesisitiza kuwa mfuko huo unalenga kutatua changamoto zinazohusiana moja kwa moja na maisha ya wananchi, kama vile kuboresha miundombinu…

Read More

MKONGO WA TAIFA KUINUA TEKNOLOJIA NA BIASHARA TANZANIA NA NCHI JIRANI

Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano, Teknolojia, na Habari imekamilisha ujenzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, hatua inayolenga kuboresha mawasiliano ya ndani na kuimarisha uhusiano wa kibiashara na nchi jirani, ikiwemo Kenya. Akizungumza Januari 23, 2025, Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia, na Habari, Jerry Silaa, alisema mkongo huo unajumuisha nyaya za mawasiliano zinazounganisha Tanzania na Kenya…

Read More

MRADI WA MAJI KEMONDO TUMAINI JIPYA LA WANABUKOBA

Na Dulla Uwezo Imeelezwa kuwa changamoto zilizokuwepo katika Mradi wa Maji wa Kemondo Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba, sasa huenda zikatatuliwa kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kuletwa fedha nyingi  katika mradi huo, na kwamba mkandarasi kwa sasa anafanya kazi kwa juhudi kubwa. Hayo yamebainika katika Ziara ya Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Mathew Kundo aliyefika…

Read More

Mawakili walivyorushiana mpira, Dk Slaa kuendelea kusota mahabusu

Dar es Salaam. Wakati mwanasiasa maarufu nchini, Dk Wilbrod Slaa akiendelea kusota mahabusu kutokana na kukabiliwa na kesi ya jinai, mawakili wanaomtetea na mawakili wa Serikali wamerushiana mpira kila upande ukiutuhumu kuwa chanzo cha mwanasiasa huyo kupelekwa mahabusu na kuchelewesha kuamua hatima ya dhamana yake. Mawakili hao wamerushiana mpira huo, leo Alhamisi, Januari 23, 2025,…

Read More

Biashara, kazi hakuna kulala, kufanyika saa 24 Dar

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amebainisha kwamba jiji hilo liko mbioni kuanza kufanya shughuli za kiuchumi ikiwemo biashara na kazi mbalimbali kwa saa 24. Kwa tafsiri ya mkuu huyo wa mkoa sasa Dar es Salaam kutakuwa hakuna kulala kwa wafanyabiashara huku akisema ni tija kwa vijana hasa wasio…

Read More

Vigogo wamimina kongole uendeshaji uchaguzi Chadema

Dar es Salaam. Wadau wa demokrasia nchini, wamekipongeza Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuendesha uchaguzi wake kwa uhuru, haki na uwazi na hatua ya Freeman Mbowe kukubali matokeo akivitaka vyama vingine kuiga mfumo huo kuonyesha ukomavu.  Licha ya kuonyesha doa la uchaguzi huo kuchukua muda mrefu hadi kupatikana mshindi, wamesema mchakato mzima umeonyesha…

Read More

Kauli ya Wasira kuibua mvutano na msimamo wa Chadema

Dodoma. Unaweza  ukawa ni mvutano mpya kuhusu Katiba  kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Stephen Wasira, kusema kuwa hoja ya kutaka mabadiliko ya Katiba kabla ya uchaguzi mkuu  wa Oktoba 2025 imechelewa. Wasira ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 23, 2025 jijini…

Read More

Kamati yaiagiza Serikali kuingia ubia Hospitali ya Selian

Dar es Salaam. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi, imeiagiza Serikali kuingia makubalino na Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) maarufu Selian, ili ianze kupeleka ruzuku ikiwemo kuwapatia wahudumu wa afya vifaa tiba pamoja na dawa. Maagizo hayo yametolewa leo Alhamisi, Januari 23, 2025 na Mwenyekiti wa kamati hiyo Dk…

Read More