Vivuko vipya kupunguza machungu Kigamboni

Dar es Salaam. Milango ya ushirikiano kati ya Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) na sekta binafsi, imeanza kufungukia kwa huduma za vivuko katika eneo la Magogoni-Kivukoni. Hilo ni baada ya wakala huyo kushirikiana na Azam Marine Ltd katika utoaji huduma hiyo na tayari vivuko viwili vya kasi vimezinduliwa kuanza huduma katika eneo hilo. Milango…

Read More

TMA yatabiri mafuriko na maporomoko mikoa 14, imo Dar

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema maeneo yanayopata mvua za chini ya wastani hadi juu ya wastani yanatarajiwa kuwa na matukio ya hali mbaya ya hewa, kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa. TMA imesema vipindi vya mvua kubwa vinatarajiwa kujitokeza na kusababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi, yanayoweza kusababisha…

Read More

TMA yatabiri mafuriko, maporomoko mikoa 14, Dar ipo

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema maeneo yanayopata mvua za chini ya wastani hadi juu ya wastani yanatarajiwa kuwa na matukio ya hali mbaya ya hewa, kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa. TMA imesema vipindi vya mvua kubwa vinatarajiwa kujitokeza na kusababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi, yanayoweza kusababisha…

Read More

TMA yatabiri mafuriko, maporomoko mikoa 14

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema maeneo yanayopata mvua za chini ya wastani hadi juu ya wastani yanatarajiwa kuwa na matukio ya hali mbaya ya hewa, kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa. TMA imesema vipindi vya mvua kubwa vinatarajiwa kujitokeza na kusababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi, yanayoweza kusababisha…

Read More

Wasira azua mvutano mpya na Chadema mabadiliko ya Katiba

Dodoma. Unaweza  ukawa ni mvutano mpya kuhusu Katiba  kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Stephen Wasira, kusema kuwa hoja ya kutaka mabadiliko ya Katiba kabla ya uchaguzi mkuu  wa Oktoba 2025 imechelewa. Wasira ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 23, 2025 jijini…

Read More

Wassira azua mvutano mpya na Chadema mabadiliko ya Katiba

Dodoma. Unaweza  ukawa ni mvutano mpya kuhusu Katiba  kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Stephen Wasira, kusema kuwa hoja ya kutaka mabadiliko ya Katiba kabla ya uchaguzi mkuu  wa Oktoba 2025 imechelewa. Wasira ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 23, 2025 jijini…

Read More

Samia aagiza fidia wanaopisha mradi Monduli kabla ya Februari

Monduli. Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza fidia iliyotengwa kwa wananchi wa vijiji vinne waliopisha mradi wa magadi soda wilayani Monduli, mkoani Arusha, iwe imelipwa ifikapo Februari 15, 2025. Serikali imetenga Sh14.48 bilioni kwa ajili ya ulipaji fidia hiyo na jumla ya wananchi 595 kutoka vijiji hivyo wananufaika. Agizo hilo limetolewa leo Alhamisi Januari 23, 2025…

Read More