Nchimbi avunja ukimya ishu ya pete

MSHAMBULIAJI wa Mbeya Kwanza, Ditram Nchimbi ameamua kuvunja ukimya juu ya kusakamwa mitandaoni kutokana na video inayomuonyesha akimvisha mwanamke pete ya uchumba, huku akiweka bayana sakata zima la mkewe. Alifafanua ishu ya video aliyekuwa anamvalisha mwanamke pete aliyeonekana kumzidi umri, akisema ni video ya zamani, huku zikiwepo taarifa za chinichini za kumuacha na mkewe, kipindi…

Read More

Pamba Jiji yatema sita, ishu ya Okutu pasua kichwa

BADO Klabu ya Pamba Jiji inaumiza kichwa namna ya kumalizana na mshambuliaji, Mghana Erick Okutu ambaye mwanzo ilielezwa angejiunga na KenGold dirisha dogo la usajili lililofungwa Januari 15, mwaka huu, lakini imeshindikana. Wakati ishu ya Okutu ikiwa pasua kichwa, klabu hiyo imeachana na nyota sita kipindi cha dirisha dogo. Awali, Mwanaspoti liliripoti kambi ya Okutu…

Read More

Serikali ya kijiji yawakatia bima wananchi wake Mbeya

Mbeya. Zaidi ya wananchi 1,500 katika Kijiji cha Mashese kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya wameondokana na gharama za matibabu baada ya serikali ya kijiji hicho kuwapatia bima. Bima hizo zinatokana na mapato ya ndani ambapo mbali na wananchi wa kawaida, pia, wanafunzi watanufaika na katika mpango huo unaolenga kuhakikisha jamii hiyo inakuwa salama…

Read More

Tanzania mbioni kuanza kuzalisha kompyuta

Dodoma. Tanzania iko mbioni kuwa na kiwanda kikubwa cha kutengeneza kompyuta mpakato (Laptop) kitakachozalisha kompyuta aina ya Tanzanite. Aidha, nyingi ya komyuta hizo zitaelekezwa katika kukuza sekta ya Tehama kuanzia shule za msingi hadi sekondari. Hayo yalibainika Bungeni jijini Dodoma jana Jumatano, Januari 22, 2025 wakati Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Tehama, Dk Nkundwe Mwasaga…

Read More

Kocha ASEC aichambua Simba, afichua siri nzito

WAKATI mashabiki wa Simba wakisubiria kwa hamu droo ya mechi za robo fainali za Kombe la Shirikisho Afrika ili kujua timu yao itapangwa na nani kuitafuta nusu fainali, timu hiyo imeonekana kuwa tishio. Simba iliyofuzu robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuongoza kundi A, inaweza kupangwa kucheza na timu mojawapo kati ya Asec…

Read More