AKILI ZA KIJIWENI: Feruzi afuate nyayo za Dilunga

JAMBO lililotukosha hapa kijiweni ni kipa Feruzi Teru aliyekuwa chaguo la tano pale Simba kujiunga na Kagera Sugar dirisha dogo. Kilichotufurahisha ni mdogo wetu kupata ufahamu kuwa alikuwa anapoteza muda na kipaji chake pale Simba kwani nafasi ya kucheza isingekuwa rahisi kupatikana kwake. Fikiria bila kumhesabu Ayoub Lakred, Feruzi mbele yake kulikuwa na makipa wanne…

Read More

“Nguvu zaidi zinahitajika ulinzi Ghuba ya Chwaka”

Unguja. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema umefika wakati sasa kuongeza nguvu ya ulinzi katika Ghuba ya Chwaka kutokana na kuwepo kwa baadhi ya wavuvi kuendelea na uharibifu wa hifadhi za bahari na rasilimali zake. Ameyasema hayo Januari 23, 2025 Marumbi wakati wa uzinduzi na kukabidhi boti ya doria kwa ajili…

Read More

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AZINDUA BAHATI NASIBU YA TAIFA,ASEMA MAPINDUZI MAKUBWA SEKTA YA MICHEZO YA KUBAHATISHA TANZANIA

Sekta ya michezo ya kubahatisha nchini Tanzania imepiga hatua kubwa baada ya uzinduzi rasmi wa Bahati Nasibu ya Taifa Tanzania iliyopata baraka kutoka zote kutoka kwa Mhe. Hamad Chande, Naibu Waziri wa Fedha. Mpango huu, unaosimamiwa na ITHUBA, Kampuni inayoongoza barani Afrika katika kuendesha michezo ya Bahati Nasibu, unalenga kuleta mapinduzi katika sekta hiyo, kuchochea…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mpanzu atulize mawenge anajua mpira

USAJILI ambao Simba iliufanya wa kumsajili Elie Mpanzu katika dirisha dogo la usajili ulikuwa gumzo kubwa nchini kutokana na jina ambalo mchezaji huyo kutoka DR Congo alikuwa nalo kabla hata hajaja. Ni jambo la kawaida kwa Watanzania kumpamba mtu hata kama hawajajiridhisha kwa kumtazama vya kutosha, wewe wape tu picha, maelezo wataandika wenyewe. Sasa Mpanzu…

Read More

Mgambo akamatwa Tunduma akijifanya trafiki

Songwe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linamshikilia Bangros Sikaluzwe (37), mkazi wa Ilolo, Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kwa tuhuma za kujifanya askari wa Jeshi la Polisi Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Januari 22, 2025 na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Akama Shaaban, mtuhumiwa huyo alikamatwa Januari 22, 2025, saa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mpanzu atulize mawenge anajua bolu

USAJILI ambao Simba iliufanya wa kumsajili Elie Mpanzu katika dirisha dogo la usajili ulikuwa gumzo kubwa nchini kutokana na jina ambalo mchezaji huyo kutoka DR Congo alikuwa nalo kabla hata hajaja. Ni jambo la kawaida kwa Watanzania kumpamba mtu hata kama hawajajiridhisha kwa kumtazama vya kutosha, wewe wape tu picha, maelezo wataandika wenyewe. Sasa Mpanzu…

Read More

Absa Bank Tanzania concludes Spend & Win campaign with great success, third Subaru Forester winner applauds service excellence

The final winner of Absa Bank Tanzania’s three-month Spend & Win campaign, Ms. Amalia Lui Shio (center), receives the ignition key to a brand-new 2024 Subaru Forester from the bank’s Head of Retail Banking, Ms. Ndabu Lilian Swere, during a ceremony held in Dar es Salaam yesterday. The campaign aimed to encourage more Tanzanians to…

Read More

Tanzania kuanza kuzalisha kompyuta – MICHUZI BLOG

 Na Mwandishi Wetu, Dodoma TANZANIA iko mbioni kuwa na kiwanda kikubwa cha kutengeneza kompyuta mpakato (Laptop) kitakachozalisha kompyuta aina ya Tanzanite. Aidha, nyingi ya komyuta hizo zitaelekezwa katika kukuza sekta ya TEHAMA kuanzia shule za msingi hadi sekondari. Hayo yalibainika Bungeni jijini Dodoma jana wakati Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA, Dkt. Nkundwe Mwasaga alipofanya…

Read More