
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2024
Bofya Hapa kutazama matokeo MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2024
Bofya Hapa kutazama matokeo MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2024
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika kuanzia Novemba 11 hadi 29, 2024.
Last updated Jan 23, 2025 Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), leo Januari 23, 2025 limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato che nne. Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili…
Last updated Jan 23, 2025 Jean Ahoua NDANI ya kikosi cha Simba mtambo wa kutengeneza mabao ni Jean Ahoua ambaye haeleweki kutokana na kiwango chake kuwa cha kupwa na kujaa lakini ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Ipo wazi kwamba Simba kwenye ligi ni namba moja katika msimamo ikiwa na pointi…
Dar es Salaam. Askofu wa Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Benson Bagonza amechambua ushindi wa Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kushindwa kwa Freeman Mbowe. Mbowe amekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 21. Baada ya kushindwa katika uchaguzi uliomalizika asubuhi ya jana…
YANGA imeaga michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini chapu kocha wa timu hiyo, Sead Ramovic ameanza msako wa kikosi kipya kwa msimu ujao, akianza kupigia hesabu beki wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ili kuja kutengeneza ukuta wa maana. Kama Yanga itamsajili beki huyo mpya, Sphiwe Given Msimango kinachofanya kazi pale nchini Afrika Kusini,…
LEO ndio leo Uefa Champions League ligi ya mabingwa barani ulaya ambapo mteja wa Meridianbet unaweza kupiga mamilioni kupitia michezo ambayo itachezwa leo kwenye michuano hiyo mikubwa kabisa barani ulaya, Huku mabingwa wa michezo ya kubashiri Meridianbet wakigawa Odds bomba kwa michezo hiyo. Klabu ya PSG leo itashuka dimbani kumenyana na vijana wa Pep Guardiola…
Kijana Bakari Rajabu (siyo jina halisi), mkazi wa Majengo jijini Tanga, anaishi maisha ya shida. Mahabusu na jela zimekuwa kama nyumbani kwake. Lakini, kwa maneno yake mwenyewe, hakupenda maisha haya. “Nimelazimika kuingia katika uhalifu ili niishi. Ninaishia jela au mahabusu. Lakini watu hawaelewi. Mimi sipendi kuwa hivi,” anasema Hata hivyo, Bakari, ambaye ndoto zake baada…
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti akizungumza kwenye mkutano na Waandishi wa Habari hawapo pichani kulia kwake ni Hakimu Mkazi Mkuu Mfawidhi wa Mahakama ya Kisarawe Mhe.Emmy Amon Nsangalufu. Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti akiwe kwenye picha ya pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama pamoja na wageni wengine waliokuwepo kwenye mkutano…
Mashambulizi ya jicho kwa jicho na kuvuana nguo. Vita ya maneno na mabadilishano ya ahadi kuhusu kesho ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Kilikuwa kipindi pevu cha mnyukano, hatimaye tamati imefikiwa na mwanzo mpya umezaliwa. Tundu Lissu ndiye Mwenyekiti wa Chadema na Freeman Mbowe, anavaa cheo kipya, mwenyekiti mstaafu. Tamthiliya, vioja na ngebe za…