Tamko la Trump na Tanzania ilivyojiandaa miradi ya afya

Dar es Salaam. Uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wa kusitisha misaada ya maendeleo nje ya Marekani kwa siku 90, pamoja na azma ya kujitoa kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO), umeikuta Tanzania ikiwa imejitayarisha kwa changamoto hizo. Trump, ambaye Jumatatu wiki hii ameapishwa kuwa Rais wa 47 wa Marekani, alisaini amri za kiutendaji…

Read More

UNDENI KAMATI YA KUPONYA MAKOVU YA KAMPENI -MBOWE

MWENYEKITI Mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Mjumbe wa Kudumu wa Kamati Kuu ya Chama hicho, Freeman Mbowe anatoa maagizo kwa viongozi wapya wa chama hicho kuunda tume kwa ajili kuyaponya majeraha yaliyotokana na kampeni za uchaguzi uliomuondoa madarakani. Mbowe ameyasema hayo leo tarehe 22 Januari 2025 alipokuwa akiwaaga wajumbe…

Read More

‘Tumemaliza kazi, tumebakiza kushindana na vyama vingine’

Unguja. Mgombea mteule wa urais wa Zanzibar wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema wamemaliza uchaguzi wa chama wakiwa salama, hivyo kazi iliyobaki ni kujipanga  kushindana na viongozi wengine kutoka vyama vingine. Dk Mwinyi ambaye pia ni Rais wa Zanzibar, amewataka wananchi kujiandikisha kupigakura na kujitokeza kwa wingi  katika uchaguzi mkuu kupiga kura. Amezungumza hayo katika…

Read More

Mahakama Kuu yasimamisha uamuzi kesi ya Dk Slaa Kisutu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imesimamisha uamuzi wa kesi inayomkabili mwanasiasa maarufu nchini, Dk Wilbroad Slaa, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, iliyopangwa kutolewa kesho pamoja na mwenendo wa wote wa kesi hiyo. Hatua hiyo inatokana na mashauri mawili tofauti aliyoyafungua Dk Slaa mahakamani hapo kupitia mawakili wake kutokana na…

Read More

‘Miamala kidijitali ni njia salama’

Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha Wateja wa Rejareja kutoka Benki ya Absa, Ndabu Swere amesema malipo ya kidijitali ni njia inayowezesha kufanya miamala kwa usalama zaidi. Amesema walipoanzisha huduma ya miamala kwa njia ya kidijitali, asilimia 70 pekee ya wateja wao ndiyo walikuwa wanatumia huduma hiyo, kwa sasa watumiaji wa huduma hiyo wamefikia…

Read More