KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UENDESHAJI WA KIWANDA CHA KMTCL

  Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo,akizungumza wakati wa Waziri wa Viwanda na Biashara akiwasilisha Taarifa ya Utendaji wa Kiwanda cha KMTC Manufacturing Limited kilichosajiliwa Kampuni Tanzu ya NDC mwezi Machi, 2023 kilichojulikana kama Kilimanjaro Machine Tools Company (KMTC) ili kufanya kiwanda kujiendesha kibiashara kwa Kamati hiyo katika…

Read More

Buriani, Sheikh Abuu Iddi, mwanazuoni wa aina yake

Alhamisi  Januari 30,  2025 itakumbukwa kuwa siku iliyoacha huzuni kwa wanazuoni, masheikh, wanafunzi wa taaluma za dini ya Kiislamu na Waislamu wa Tanzania kwa kuondokewa na Sheikh Mohamed Iddi Mohamed Husein Kisodya Mahede, maarufu kwa jina la Sheikh Abuu Iddi. Huyu alikuwa mwanazuoni maarufu wa Kiislam na Mratibu wa Taasisi ya Masheikh na Wanazuoni wa…

Read More

Kifahamu kidonge cha aspirin ndogo na matumizi yake

Tangu uhuru mpaka mwishoni miaka ya 1990, dawa iliyokuwa ikijulikana sana katika huduma za afya kutumika kukabiliana na maumivu na homa ilikuwa ni aspirin. Kwa hivi sasa wagonjwa wenye umri kati ya miaka 40-70 ambao wanahudhuria kliniki za moyo ni kawaida kujiuliza ni kwa nini wanapewa aspirini hiyo, lakini yenye jina la junior aspirin. Ukweli…

Read More

Mafuta bora kiafya, namna ya kutumia

Dar es Salaam. Mafuta ni muhimu katika mwili kwa kuwa yanasaidia ufyonzwaji wa vitamini A, D, E na K. Kiafya binadamu anatakiwa kutumia kiasi cha kidole gumba chake kama kipimo cha mafuta alayo kwa siku. Mafuta, hasa yatokanayo na samaki, yana virutubishi muhimu (asidi za omega 3 na 6) ambavyo ni bora kwa ukuaji wa…

Read More

Pamba Jiji yapata CEO, aachiwa kufyeka mishahara

KLABU ya Pamba Jiji imemtambulisha, Peter Rehett kuwa ofisa mtendaji mkuu (CEO), ikiwa ni takriban miezi 10 nafasi hiyo ikiwa haina mtu ikikaimiwa na meneja wa timu hiyo, Ezekiel Ntibikeha. Rehett ambaye ni mkuu wa Idara ya Tehama katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza na mara nyingi amekuwa akikaimu nafasi ya mkurugenzi wa halmashauri ya…

Read More

Mlipuko wa Virusi vya Kufa nchini Uganda, Rufaa ya Haki za Binadamu ya Dola milioni 500, Sheria za Thailand za Lèse-Majesté huko Spotlight-Maswala ya Ulimwenguni

Mamlaka ya afya huko Kampala ilithibitisha kwamba mgonjwa mmoja amekufa-muuguzi ambaye alikuwa akitafuta matibabu katika vituo vingine vya matibabu baada ya kupata dalili kama za homa. Kujibu milipuko ya homa ya kufa na ya kuambukiza ambayo huambukiza ambayo hupitishwa kupitia kuwasiliana na maji na tishu za mwili, WHO ni kuhamasisha juhudi za kusaidia viongozi wa…

Read More

Kaizer ya ng’ang’ana na Fei Toto, yafikia hapa!

KAMA unadhani klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini imeamua kumpotezea kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Feisal Salum ‘Fei Toto’, baada ya ofa yao waliyoiwasilisha Azam FC, pole yako, kwani mabosi wa klabu hiyo wameamua kurudi kivingine Chamazi wa kudaiwa kuongeza mzigo. Kaizer inayonolewa na kocha wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi aliyewahi kumnoa…

Read More