Adaiwa kuchomwa mshale chanzo mgogoro wa ardhi

Shinyanga. Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia mtu mmoja kati ya wanane wanaodaiwa kumshambulia na kumpiga mshale Mussa Ngasa (40), mkazi wa Kijiji cha Nhobola kilichopo Kata ya Tagala wilayani Kishapu, wakigombea ardhi. Hayo yamesemwa leo Jumatano Januari 22, 2025, na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi, alipozungumza na Mwananchi kuhusiana na tukio…

Read More

Josiah: Ishu ya wakongwe ni nje ya uwezo wangu, nakomaa na hawa Prisons

Mbeya. Kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Aman Josiah amesema kuondoka kwa baadhi ya nyota wake ni pengo, lakini usajili mpya utaweza kuziba upungufu na timu kufanya vizuri. Katika dirisha dogo lililofungwa Januari 15, Prisons imesajili wachezaji sita, huku wakiondoka mastaa wake sita waliokuwa watumishi wa Magereza ambao tayari wamepangiwa majukumu mengine. Walioondoka ni wakongwe Salum…

Read More

BILIONI 14.48 KULIPA FIDIA MRADI WA MAGADI SODA ENGARUKA

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akizungumza kwenye Kipindi cha mahojiani cha Jambo Tanzania kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha TBC kilichofanyika leo Januari 22,2024 katika ofisi za Kituo hicho jijini Dar es Salaam. Na.Mwandishi Wetu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) amesema Serikali ya Tanzania inaandika historia katika uendelezaji wa sekta ya…

Read More

Simba yapasua mtu 11-0, Mnunka arejea na mbili

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens leo jioni wameichakaza Mlandizi Queens kwa mabao 11-0 kwenye Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo, Jentrix Shikangwa alifunga mabao manne, Asha Djafar alitupia hat-trick, Aisha Mnunka aliweka kambani mawili wakati Precious Christopher na Ruth Ingosi kila moja alifunga mara moja….

Read More

Mbio za mIta 3000 kiunzi kirefu miaka 45

MBIO za mita 3000 kuruka viunzi na maji (steeplechase) zimekuwa ni mtihani usio na majibu kwa miaka 45 sasa tangu Filbert Bayi azitumie kuipatia Tanzania medali ya fedha katika michuano ya Olimpiki ya Moscow, Urusi mwaka 1980. Tangu Bayi aishindie Tanzania moja ya medali mbili za pekee za Olimpiki, hakukuwapo na harakati zozote za wanariadha…

Read More

‘Vijana wajengewe mikakati ya kujitambua’

Unguja. Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana Zanzibar, Shaibu Ibrahim Mohammed, amesema ipo haja Serikali kuendelea kubuni mbinu za kuwajengea uwezo vijana, wajitambue, kujenga uchumi wao na taifa kwa ujumla. Amesema hayo wakati akifungua kongamano la vijana  leo Jumatano, Januari 22, 2025, katika Kituo cha Maendeleo ya Vijana Bweleo, Wilaya ya Magharibi B, Mkoa…

Read More