KONA YA FYATU MFYATUZI: Rushwa, najifyatua, nafyatua, tufyatuane

Nachukia rushwa iwe ndogo, kubwa, ya fedha, ngono, vyeo, nk. Zaidi, nawachukia watoaji, wapokeaji, na wanene wanaojifanya kutoiona, hivyo, kutoifyatua. Japo hatuongelei waziwazi, rushwa ni kansa ya kaya. Hivyo, leo, najifyatua, nawafyatyua, na nahimiza tuwafyatue na kufyatuana ili kuikabili, kuifyatua, na kuiondosha rushwa. Japo rushwa hufanyika kisiri, tukifyatuka vilivyo na kuitangazia operesheni na vita kuifyatua…

Read More

Dk Nchimbi alivyoruka viunzi vya siasa

Usione vyaelea, jua vimeundwa. Ni msemo unaoakisi mikiki mikiki ya siasa aliyopitia Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi. Januari 19, 2025 Dk Nchimbi alipendekezwa kuwa mgombea mwenza wa urais wa CCM na Rais Samia Suluhu Hassan, mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa chama hicho uliofanyika jijini Dodoma. Hatua hiyo ilifikiwa baada ya…

Read More

VIDEO: Huyu ndiye Tundu Lissu, mwenyekiti mpya wa Chadema

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu aliyekuwa mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa chama hicho katika uchaguzi uliofanyika usiku wa kuamkia leo Jumatano, Januari 22, 2025 ameshinda.  Lissu amemng’oa madarakani Freeman Mbowe, aliyekiongoza chama hicho kwa miongo miwili. Mbowe amekuwa wa kwanza kukiri kushindwa na kumpongeza Lissu kupitia mtandao wa…

Read More

Miradi 901 yasajiliwa nchini mwaka 2024

Geita. Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), kimesajili miradi 901 ya uwekezaji ya Dola 9.3 bilioni za Marekani (Sh23.01 trilioni), kwa mwaka 2024 ikiwa ni ongezeko la asilimia 41.6 ya miradi iliyosajiliwa mwaka 2022. Mwenyekiti wa bodi ya kituo hicho, Dk Binilith Mahenge amesema hayo leo Jumatano Januari 22, 2025  alipotembelea mgodi wa uchimbaji madini ya…

Read More

Acha Kite Iruke Juu – Masuala ya Ulimwenguni

Mkataba thabiti na unaotekelezeka wa plastiki unahitajika kwa haraka katika 2025. Credit:: Shutterstock Maoni na Sulan Chen (umoja wa mataifa) Jumatano, Januari 22, 2025 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Jan 22 (IPS) – Mchakato wa mazungumzo ya plastiki duniani, uliozinduliwa mwaka 2022 chini ya azimio la Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa, unawakilisha…

Read More

Lissu amng’oa Mbowe Chadema, Odero apata kura moja

Dar es Salaam. Matokeo ya jumla ya uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), yametangazaa huku Tundu Lissu akiibuka kidedea. Katika nafasi hiyo ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa, wapigakura waliojisajili walikuwa 1,014 kura zilizopigiwa ni 999, halali zikiwa 996 na tatu zimeharibika. “Odero Odero kapata kura moja sawa na asilimia 0.1, Freeman Mbowe amepata…

Read More

Medo amvalisha mabomu Mpole | Mwanaspoti

KOCHA wa Kagera Sugar, Melis Medo ameonyesha imani kubwa kwa mshambuliaji mpya, George Mpole, akisema  ana uwezo wa kufanya mambo makubwa na kuwa msaada katika juhudi zao za kujinasua kutoka kwenye hatari ya kushuka Ligi Kuu Bara. Medo ameliambia Mwanaspoti kwamba Mpole atakuwa silaha muhimu katika timu hiyo hasa katika duru la pili la Ligi…

Read More

Lema aeleza alivyopata ugumu kumwangusha Mbowe

Dar es Salaam. Kada wa Chadema, Godbless Lema ameeleza sababu za kumtetea Makamu mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu katika kuwania uenyekiti wa chama hicho, akisema lengo lake ni kuhakikisha matakwa ya wananchi yanashinda. Lema amesema hayo leo Jumatano Januari 22 nje ya ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam baada ya kukamilika kuhesabiwa…

Read More

Lyanga apiga mahesabu raundi ya pili

MSHAMBULIAJI Danny Lyanga amesema mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara utamjengea heshima kwa kuisaidia  Mashujaa aliyojiunga nayo dirisha dogo akitokea JKT Tanzania ambako hakuwa na nafasi kikosi cha kwanza. Danny ambaye ni mchezaji mzoefu kutokana na kucheza  timu mbalimbali zikiwamo Geita Gold, Azam FC, Simba, Fanja ya Oman, Tanzania Prisons na sasa Mashujaa alisema…

Read More

VIDEO: Lissu atoa kauli dhidi ya Mbowe

Dar es Salaam. Baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi uliofanyika kwa takribani siku mbili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amemshukuru mtangulizi wake, Freeman Mbowe na kueleza walichofanya kitaacha historia kwenye siasa za Tanzania. Lissu aliyepata nafasi ya kuzungumza baada ya matokeo kutangazwa leo Jumatano, Januari 22, 2025, amesema Mbowe amewezesha…

Read More