Tshabalala, Kapombe wala kiapo Simba

NAHODHA wa Simba, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ amesema kitendo cha kuongoza Kundi A la Kombe la Shirikisho Afrika kwa kufikisha pointi 13, inabaki kuwa mtihani mkubwa kwao ambao wanapaswa kupambana kukabiliana nao hatua zinazofuatia. Simba kwa kumaliza kinara wa kundi hilo, imefuzu robo fainali ikiwa na faida ya kuanzia ugenini hatua inayofuata ambayo Tshabalala anaamini lazima…

Read More

Huyu ndiye John Heche aliyevaa viatu vya Lissu

Dar es Salaam. Mwanasiasa maarufu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche, ameshinda nafasi ya Makamu mwenyekiti wa chama hicho baada ya kupata kura 577 sawa na asilimia 57 na kumbwaga mshindani wake, Ezekia Wenje aliyepata kura 372 sawa na asilimia 37. Heche amechukua nafasi ya Tundu Lissu aliyoingoza kwa miaka mitano kuanzia…

Read More

Pacome afichua kinachoendelea Yanga, atoa ahadi

WIKIENDI iliyopita Yanga ilitoka 0-0 na MC Alger, matokeo hayo yaliifanya kushindwa kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikimaliza nafasi ya tatu Kundi A. Kushindwa kufuzu robo fainali, kumemfanya kiungo fundi wa timu hiyo, Pacome Zouzoua kutoa kauli ya tumaini jipya. Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara na Kombe la…

Read More

Lissu atoa mwelekeo mpya Chadema

Dar es Salaam. Mwenyekiti mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amesema hatokuwa na ndimi mbili kwenye utumishi wake. Lissu amesema hayo leo Jumatano, Januari 22, 2025 baada ya kushinda nafasi ya uenyekiti wa chama hicho akimbwaga aliyekuwa Mwenyekiti Freeman Mbowe. Katika hotuba yake, Lissu amegusia masuala mbalimbali ambayo uongozi wake utayasimamia…

Read More

Kwa Simba hii ya Fadlu, kuna kitu!

KATIKA dakika 270 sawa na mechi tatu za mwisho kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, Kocha wa Simba, Fadlu Davids ameonyesha kujipata kutokana na namna ya upangaji wa kikosi chake cha kwanza kilichompa heshima kubwa. Mechi hizo tatu zilizochezwa ndani ya kipindi cha takribani siku 14, ziliipa Simba pointi zilizoivusha kwenda robo fainali ikiwa ni mara…

Read More

Uhasama kaskazini mashariki mwa Syria, mpango wa kukabiliana na Mali, uhamisho wa Uyghur nchini Thailand – Masuala ya Ulimwenguni

Kati ya tarehe 16 na 18 Januari, takriban raia watatu waliuawa na 14 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora na mashambulizi mengine yaliyoathiri maeneo ya Manbij, Ain al-Arab na vijiji vingine karibu na Bwawa la Tishreen katika eneo la mashariki la Aleppo. Washirika wa Umoja wa Mataifa pia waliripoti kuwa maduka katika soko kuu yaliharibiwa wakati…

Read More

KARATU YAFIKIWA NA ELIMU YA FEDHA

Na. Saidina Msangi, WF, Karatu, Arusha Wananchi wa Wilaya ya Karatu jijini Arusha, wametakiwa kuhakikisha kuwa wanatumia Taasisi za fedha zilizosajiliwa ambazo zinazingatia sheria, kanuni na taratibu katika huduma za fedha ili kujiepesha na watoa huduma za fedha wasio sajiliwa. Rai hiyo ilitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mhe. Dadi H. Kolimba, alipokutana na…

Read More

TUNDU LISSU ASHINDA UWENYEKITI CHADEMA, MBOWE ABARIKI MATOKEO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TUNDU Lissu ameibuka mshindi katika nafasi ya Mwenyekiti Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) dhidi ya mpinzani wake ambaye mtangulizi wake, Freeman Mbowe aliyekuwa anatetea nafasi yake. Katika ukurasa wake wa Mtandao kijamii wa X, Mbowe ameandika ujumbe wa kukubali kushindwa kwa kusema “Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya Uchaguzi…

Read More