NIDA YARUHUSU NDUGU JAMAA KUCHUKULIANA KITAMBULISHO CHA TAIFA, YAWATOA HOFU WANANCHI KUFUNGIWA NAMBA

 Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, James Kaji akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Januari 21,2025. kuhusiana na masuala mbalimbali ya Vitambulisho vya Taifa. Na Avila Kakingo, Michuzi Tv MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeruhusu kuchukuliana kitambulisho cha Taifa na  mtu mwingine ambaye mhusika atamwomba amchukulie. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa…

Read More

SERIKALI IMEFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KWA TMA-MAJALIWA

▪️Lengo ni kuwezesha utoaji wa utabiri na tahadhari za hali mbaya ya hewa SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini ikiwemo upande wa miundombinu ya uangazi wa hali ya hewa na kujenga uwezo wa wafanyakazi. Kauli hiyo imetolewa…

Read More

WATEJA WA VODACOM WAENDELEA KUNEEMEKA NA KAMPENI YA KURUDISHA TABASAMU ‘SHANGWE POPOTE UKIWA NA M-PESA’.

   Meneja mauzo wa Vodacom Tanzania Plc Mkoa wa Pwani Suleiman Amri (katikati) akiweka mafuta yaliyotolewa bure kwa wateja wa kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kwenye gari ya Ramadhan Kalafya(kushoto) Ikiwa ni mwisho wa kampeni yao ya kurudisha tabasamu kwa wateja katika msimu wa sikukuu inayoitwa ‘Shangwe popote ukiwa na M-Pesa.Msimamizi wa mauzo kutoka…

Read More

WAZIRI MASAUNI AKIZUNGUMZIA MAFANIKIO YA MUUNGANO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni akiwasilisha taarifa kuhusu utekelezaji wa kuanzishwa kwa Akaunti ya pamoja ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mchakato wa kuundwa kwa Tume ya kusimamia akaunti hiyo na mchakato wa kujenga Ofisi za Kimuungano Zanzibar kwa Kamati ya…

Read More