SIJAWAHI KUGOMBANA NA MBOWE: LISSU

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)- Bara Tundu Lissu amesema pamoja na kutofautiana na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe kwa misimamo lakini hawajawahi kugombana. Akitoa Salamu zake leo Januari 21, 2025 kabla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa chama hicho, Lissu amesema wanaweza kuwa wametofautiana kimsimamo lakini hawajawahi kugombana. Amesema uamuzi…

Read More

MBOWE AFUNGUA MKUTANO MKUU CHADEMA, AKEMEA MATUSI

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) FREEMAN Mbowe amewasihi viongozi watakaoshika nyazifa mbalimbali katika Chama hicho ni lazima wakijenge chama katika misingi ya maadili na Nidhamu. Ameyasema hayo leo Januari 21, 2025 wakati anafungua Mkutano Mkuu wa chama hicho unapendelea Mlimani City jijini Dar es Salaam. “Mtakaopewa mikoba ya chama hiki ni lazima…

Read More

JESHI LA POLISI PWANI LAMKAMATA MTUHUMIWA ALIYESAMBAZA PICHA CHAFU ZA UTUPU AKIHUSISHA SHULE YA BAOBAB

    Na Mwamvua Mwinyi, Pwani JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linamshilia mtuhumiwa mmoja aliyetengeneza na kusambaza picha chafu za utupu, akiziunganisha na picha mbalimbali za Shule ya Baobab iliyopo mkoani Pwani.  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishina Msaidizi wa Polisi Salim Morcase, alizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake na kusema kwamba…

Read More

WAKULIMA WASHAURIWA KUWA NA UTARATIBU WA KUKATA BIMA KUEPUKA HASARA INAYOTOKANA NA MAJANGA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV MKURUGENZI Mtendaji Mkuu wa Kampuni inayojihusisha na masuala ya Bima  NewTan Insurance, Nelson Rwihula amesema wakulima wamekuwa wakikabiliwa na majanga mbalimbali na kujikuta wanapata hasara kubwa kutokana na kukosa Bima inayoweza kulipa fidia mazao yao. Hivyo ameshauri wananchi ambao wanajihusisha na kilimo wameshauriwa kuweka utaratibu wa kukata bima itakatayowezsha kulinda mazao…

Read More

JENGO LA MAKAO MAKUU WMA KUKABIDHIWA FEBRUARI 10, 2025, UJENZI WAFIKIA ASILIMIA 95.2

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah,ameridhishwa na ujenzi wa Jengo la Wakala wa Vipimo (WMA) Makao Mkuu Dodoma huku akimpongeza Mkandarasi kwa kujenga katika kiwango chenye ubora mkubwa. Dkt.Abdallah ametoa pongezi hizo leo Januari 20,2025 jijini Dodoma mara baada ya kutembelea na kujionea maendeleo ya…

Read More

Jela miaka 15 kwa kumuua mkewe bila kukusudia

Geita. Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Geita imemhukumu kifungo cha miaka 15 jela, Andrea George (21) kwa kosa la kumuua mkewe, Tabu Jems bila kukusudia. Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo,  Kelvin Mhina baada ya kusikiliza kesi hiyo iliyokuja mahakamani hapo leo Januari 20,2025 kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa maelezo ya awali…

Read More

Israel yawaachia huru Wapalestina 90 kutoka magerezani

Gaza. Wafungwa 90 raia wa Palestina wameachiwa kutoka katika magereza ya Israel. Wafungwa hao ni wanawake na watoto waliokamatwa na Jeshi la Israel (IDF) na kufungwa katika magereza nchini humo. Wafungwa hao wameachiwa usiku wa kuamkia leo Jumatatu Januari 20, 2025, ikiwa ni utekelezaji wa makubaliano ya kusitishwa kwa vita kati ya Jeshi la Israel…

Read More