Fountain Princess yaongeza saba wapya

FOUNTAIN Gate Princess imeongeza wachezaji saba kutoka mataifa mbalimbali dirisha hili dogo, huku pia ikikamilisha taratibu za vibali kwa nyota wake ambao hapo awali ilishindwa kuwatumia. Akizungumza na Mwanaspoti, Kocha Mkuu wa Fountain Mirambo Camil alisema ripoti yake imefanyiwa kazi ya kuhitaji karibu kila mchezaji kwenye eneo na sasa wako vitani kujiandaa na ligi. Aliongeza…

Read More

Kiungo mpya JKT aahidi makubwa

KIUNGO mpya wa JKT Queens, Elizabeth John amesema anatamani kufanya makubwa akiwa na timu hiyo kutokana na ubora wa timu hiyo. Kinda huyo alipewa mkono wa kwaheri na Alliance Girls aliyoitumikia kwa misimu miwili tangu alipojiunga nao mwaka 2022. Akizungumza na Mwanaspoti, John alisema anatamani kufanya makubwa na kuandika historia akiwa na klabu kubwa kama…

Read More

Mastaa wamkosha Mfaransa Singida Black Stars

KOCHA wa Singida Black Stars, Mfaransa Miloud Hamdi amesema hadi sasa kikosi hicho kiko katika mwelekeo mzuri ingawa ana kazi kubwa ya kufanya kwenye mzunguko huu wa pili wa Ligi Kuu Bara, kutokana na ushindani mkubwa uliopo kwa kila timu. Kocha huyo mwenye uraia pacha wa Ufaransa na Algeria aliyeteuliwa Desemba 30, mwaka jana, amezungumza…

Read More

Dodoma yawaita Walibya mezani | Mwanaspoti

DODOMA Jiji imegoma kumuachia kirahisi mshambuliaji nyota wa timu hiyo, Paul Peter aliyekuwa akitakiwa na Al Dahra ya Libya na kuwaita mezani Waarabu hao wakiwa na mzigo wa maana kama kweli wanataka kumbeba nyota huyo. Timu hiyo ya Ligi Kuu Bara, inadaiwa imechomoa mara mbili ofa za Al Dahra iliyopo Ligi Kuu ya Libya zilizokuwa…

Read More

Ramovic ashtukia kitu Yanga, ajibebesha zigo la lawama

MASHABIKI wa Yanga usiwasogelee wala usiongee nao kwani bado hawaelewi kipi kilichoizuia timu hiyo kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kulazimishwa suluhu na MC Alger ya Algeria, lakini kocha wa timu hiyo, Sead Ramovic ametuliza upepo huku akitaja dira na mwelekeo mpya. Yanga ililazimishwa suluhu na MC Alger katika mechi ya…

Read More

'Lebanon iko kwenye kilele cha mustakabali wenye matumaini zaidi', anasema mkuu wa Umoja wa Mataifa Guterres – Global Issues

“Dirisha limefunguliwa kufungua njia kwa enzi mpya ya utulivu wa kitaasisi, serikali yenye uwezo kamili wa kulinda raia wake, na mfumo ambao utaruhusu uwezo mkubwa wa watu wa Lebanon kustawi,” Bwana Guterres aliwaambia waandishi wa habari mjini Beirut. Mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa alikutana na Rais mteule Joseph Aoun na Waziri Mkuu mteule Nawaf…

Read More

Guterres anakaribisha kuanza kwa usitishaji vita huko Gaza huku Umoja wa Mataifa ukiimarisha usambazaji wa chakula – Masuala ya Ulimwenguni

“Tuko tayari kuunga mkono utekelezaji huu na kuongeza utoaji wa misaada endelevu ya kibinadamu kwa Wapalestina wengi ambao wanaendelea kuteseka,” mkuu wa UN. Alisema katika chapisho la mtandao wa kijamii. Aliongeza: “Ni muhimu kwamba usitishaji huu wa mapigano uondoe vikwazo muhimu vya usalama na kisiasa katika kutoa misaada.” Kwa mujibu wa taarifa za habari, mateka…

Read More