
Kocha Msauzi amvaa Fadlu | Mwanaspoti
SIMBA inarudi uwanjani wikiendi hii ikiwa ugenini ili kutaka kulinda hadhi iliyonayo ikiongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara itakapoikabili Tabora United, lakini kule katika michuano ya kimataifa kuna kocha mmoja Msauzi ameamua kuitumia salamu mapema kabla droo ya hatua ya robo fainali haijafanyika. Simba ni kati ya timu nane zilizopenya robo baada ya kuongoza Kundi…