SIMBA inarudi uwanjani wikiendi hii ikiwa ugenini ili kutaka kulinda hadhi iliyonayo ikiongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara itakapoikabili Tabora United, lakini kule katika michuano
Month: January 2025

AKIWA ndio kwanza ameitumikia Yanga kwa misimu miwili na nusu tu, mabilioni ya pesa yanamuita Clement Mzize, akiwindwa na klabu kadhaa ikiwamo ofa mpya nono

Ikiwa itatekelezwa, sheria hizo mbili mpya zilizopitishwa mnamo Oktoba zitakataza wakati huo huo viongozi wa Israeli kuwasiliana na UNRWA na kupiga marufuku shirika hilo kufanya

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma(kushoto) akiwa na binti yake Duduzile Zuma-Sambudla (kulia) Binti wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob

Dk Chaya, kwani ulitaka wananchi wako warudishiwe hizo ekari 30, au maana ya swali lako nini hasa? Sema ulisahau kidogo, kwani ungekumbuka kuwa juzi Spika

ALIYEKUWA kocha wa Yanga raia wa Argentina, Miguel Gamondi amekubali kujiunga na timu ya Al Nasr ya Libya baada ya kukaa nje ya uwanja kwa

KOCHA wa Fountain Gate, Mkenya Robert Matano amesema anatengeneza namna ya kuunganisha washambuliaji watatu nyota wa kikosi hicho katika michezo ya mzunguko huu wa pili,

KIPA wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda amesema pamoja na ugumu wa mechi dhidi ya Yanga, lakini kutokana na uhitaji wa pointi tatu ’watakufa na mtu’

TAASISI ya Mama Ongea na Mwanao imefanya mazungumzo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Makundi Maalumu, Dkt. Dorothy Gwajima ambapo ameahidi

Dar es Salaam. Wakati Soko la Kimataifa la Kariakoo jijini Dar es Salaam likitarajia kuanza tena kutoa huduma, Rais Samia Suluhu Hassan amesema moto ulioliteketeza,