Bila ya mashabiki, Simba yamzima Mwarabu

SIMBA imetoa darasa tamu kwa watani wao wa jadi, Yanga baada ya jioni ya leo kushinda mabao 2-0 mbele ya CS Constantine ya Algeria, licha ya kucheza bila ya mashabiki kutokana na kutumikia adhabu iliyopewa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Simba ilipata ushindi huo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam ambao…

Read More

TLSB kupeleka huduma za kidijitali Wilaya ya Rombo

Rombo. Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) imesema kutokana na ukuaji wa teknolojia nchini, inalenga kupeleka huduma za maktaba za kidijitali katika jamii, hasa katika Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, ili kuendana na mahitaji ya wasomaji wa sasa. Hatua hiyo imekuja baada ya TLSB kufanya mabadiliko ya kidijitali ambayo yatafanya huduma hizo kuwafikia Watanzania…

Read More

Wachumi wafunguka faida, hasara ongezeko laini za simu

Dar es salaam. Wachumi wameeleza manufaa na changamoto ya ongezeko la laini za simu nchini. Kauli za wachumi hao zinakuja kukiwa na ongezeko la usajili wa laini za simu kulingana na  ripoti iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Desemba  mwaka 2024, inaonyesha ongezeko la laini za simu  kutoka 51,292,702 mwaka 2020  hadi kufikia 86,847,460 …

Read More

Saa 48 za lala salama uchaguzi Chadema

Dar es Salaam. Safu ya uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kitaifa inatarajiwa kukamilika ndani ya saa 48 kuanzia kesho Jumatatu, Januari 20, 2025 tukio linalotabiriwa kugubikwa na mikikimikiki ya ushindani ndani na nje ya ukumbi. Ni saa 48 za moto, kutokana na uhalisia wa ushindani unaosababishwa na nguvu na ushawishi walionao wagombea…

Read More

Uapisho wa Trump wawatenga marais Afrika

Dar es Salaam. Wakati leo Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, akiapishwa kuwa Rais wa 47 wa taifa hilo kubwa duniani, orodha ya viongozi waalikwa kwenye uapisho huo imewatenga viongozi wa Afrika. Trump, aliyewahi kuwa Rais wa 45 kwenye uongozi wake wa 2017 hadi 2021, hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wa Afrika hadi anaondoka…

Read More

Askofu Lema awekwa wakfu KKKT, atwishwa mambo sita

Mwanza. Askofu Oscar Lema wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), amewekwa wakfu kuwa Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki ya Ziwa Victoria. Ibada ya kumuweka wakfu askofu huyo imefanyika leo Jumapili Januari 19,2025, katika Kanisa la KKKT, Usharika wa Imani Kanisa Kuu lililopo Mtaa wa Mission Mwanza na kuhudhuriwa na mamia ya waumini…

Read More

Mastraika Mbeya wamkosha Massawe | Mwanaspoti

KATIKA kuhakikisha Mbeya Kwanza inafanya vizuri ili kutimiza malengo ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao, kocha wa timu hiyo, Emmanuel Massawe ameweka wazi kuridhishwa na safu yake ya ushambuliaji hadi sasa, tofauti na ilivyokuwa mwanzoni. Massawe alisema hadi sasa safu ya ushambuliaji imeonyesha matumaini makubwa tofauti na walivyoanza msimu na licha tu ya changamoto…

Read More

Clara Luvanga anang’ara tu Saudia

NYOTA wa kimataifa wa soka la wanawake, Clara Luvanga amezidi kutakata baada ya wikiendi iliyopita kutupia mabao mawili yaliyoisaidia timu ya Al Nassr kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Al Qadsiah, huku mtandao wa klabu hiyo ukimpaisha kwa kusema ‘hakuna wa kumzuia kutupia’. Al Nassr ilipata ushindi huo ikiwa uwanja wa nyumbani wa Al…

Read More