Gadiel arejesha majeshi Singida | Mwanaspoti

BAADA ya kuvunja mkataba na Chippa United ya Afrika Kusini, Mtanzania Gadiel Michael ametimkia Singida Black Stars. Nyota huyo wa zamani wa Simba na Yanga ambaye wakati mwingine amekuwa akitumika kama kiungo Chippa, alijiunga na timu hiyo msimu huu kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Cape Town Spurs ya nchini humo. Siku chache zilizopita alisitisha…

Read More

Matano akomalia mifumo Fountain Gate

KOCHA wa Fountain Gate, Mkenya Robert Matano amesema anahitaji zaidi ya wiki mbili ndani ya kikosi hicho ili wachezaji wa timu hiyo waweze kuendana na mifumo yake, licha ya kukiri mapokezi kwa takribani wiki moja yamekuwa mazuri pia kwake. Matano aliyekuwa anakifundisha kikosi cha Sofapaka ya kwao Kenya, alitangazwa kuiongoza timu hiyo Januari 10, mwaka…

Read More

Minziro awatega mastaa wapya Pamba

LICHA ya kusajili wachezaji 11 dirisha dogo wakiwemo saba wa kimataifa, Kocha Mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema haitakuwa kazi rahisi kufanya vizuri, lakini itawezekana tu endapo kama wachezaji watatambua majukumu yao na timu kuwa na mshikamano. Katika dirisha dogo la usajili lililofungwa Januari 15, mwaka huu, timu hiyo imewanasa nyota wa kimataifa…

Read More

Winga mpya Yanga kuanzia hapa

KAMA ulikuwa na hamu kubwa ya kumuona winga mpya wa Yanga, Jonathan Ikangalombo akianza kuitumikia timu hiyo, taarifa njema ni kwamba siku si nyingi utamshuhudia akiliwakilisha chama lake hilo alilojiunga nalo akitokea AS Vita ya kwao DR Congo. Hiyo ni baada ya Yanga kuishia hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika huku Shirikisho la Soka…

Read More

Ninja asaka chimbo jipya DR Congo

FC Tanganyika ya DRC Congo iko kwwenye mazungumzo na Beki wa Kitanzania, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ aliyevunja mkataba na FC Lupopo ya nchini humo. Ninja alijiunga na Lupopo msimu huu akitokea Lubumbashi Sports ya nchini humo ambayo aliichezea kwa msimu mmoja kati ya miwili aliyokuwa amesaini na sababu ya kuachana nayo ni changamoto ya mshahara. Akizungumza…

Read More

Marekani yaufungia mtandao wa TikTok

Dar es Salaam. Mtandao wa TikTok umeacha kufanya kazi nchini Marekani, saa chache kabla ya sheria mpya inayopiga marufuku mtandao huo kuanza kutekelezwa. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Uingereza (BBC), mtandao huo umepigwa marufuku kutokana na wasiwasi kuhusu uhusiano wake na Serikali ya China na ilipewa tarehe ya mwisho ya Januari 19, 2025….

Read More

KURUI ,KISARAWE KUMEKUCHA ‘JAFO CUP’

Na Khadija Kalili Michuzi Tv Timu za soka Kata ya Kisarawe na Kurui jana zimetoka sare ya goli moja moja ikiwa ni katika hatua ya kuwania kucheza mechi ya fainali ya michuano ya Jafo Cup itakayochezwa Februari 2 ,2025. Wakizungumza mara baada ya kumalizika kwa mechi hiyo ambayo wachezaji wa timu zote wameonesha uwezo wa…

Read More